Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 78
Vyama vingine vitakufa natural death na ndio utakuwa ukombozi wa Tanzania na ndio sisi kama Watanzania tutajua mkweli ni yupi na mlaghai wa kisiasa ni yupi
Vyama vingine vitakufa natural death na ndio utakuwa ukombozi wa Tanzania na ndio sisi kama Watanzania tutajua mkweli ni yupi na mlaghai wa kisiasa ni yupi
Vyama vingine vitakufa natural death na ndio utakuwa ukombozi wa Tanzania na ndio sisi kama Watanzania tutajua mkweli ni yupi na mlaghai wa kisiasa ni yupi
According to Mwl J.K Nyerere "Vifo vya bila kulogwa"Well said ni muda tu ndio uliobaki lakini dalili zote zinaonyesha hata Baba wa Taifa aliwahi kusema haya
Yametimia sasa..
Majibu yako wazi, Mrema alileta chachu katika upinzani lakini akiweka malengo yake binafsi mbele. Na kwavile watu walikuwa wamechoka na mfumo uliokuwepo jazba yao haikuona mapungufu aliyonayo upande wa pili wa Lyatonga na kumuona ndio mwokozi wao.Toa maoni yako mkuu, siyo wote akina Yahaya humu, wewe unasemaje leo kuhusu Mrema, yaani hakuna ushindani humu.
Nimesikia na Peter Kisumo a.k.a "Mwanasiasa anayeheshimika" naye akisema Wasira na Maige wajiuzuru. Hapo ndipo unapoona nchi hii imeshauzwa. Hivi mtu kama Peter Kisumo ukijiuliza huu Uenyekiti wa Bodi ya Vodacom ameupataje jibu utalipata vipi ? Si kwa kupigia debe mambo kama haya ? Stupid, Alafu mtu huyu ndo unaweza kumweka kundi moja na watu kama EDWARD MORINGE SOKOINE (RIP) ? Huyu hana tofati na Kingunge Ngombale Mwiru
Nimesikia na Peter Kisumo a.k.a "Mwanasiasa anayeheshimika" naye akisema Wasira na Maige wajiuzuru. Hapo ndipo unapoona nchi hii imeshauzwa. Hivi mtu kama Peter Kisumo ukijiuliza huu Uenyekiti wa Bodi ya Vodacom ameupataje jibu utalipata vipi ? Si kwa kupigia debe mambo kama haya ? Stupid, Alafu mtu huyu ndo unaweza kumweka kundi moja na watu kama EDWARD MORINGE SOKOINE (RIP) ? Huyu hana tofati na Kingunge Ngombale Mwiru