blackpepper
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 381
- 16
Mrema amepoteza mwelekeo yupo yupo tu hana dira
Augustine Lyatonga wa TLP, anayetamani sasa aambulie japo posho za Ubunge kabla mauti haijamfika. Manfiki Kweli huyu.Mrema who?
Hivi mrema anaposema kuwa biashara ya Uraisi hailipi na sasa ameamua kuingia jimboni anamaanisha kuwa yeye ni mfanya biashara ya Siasa?. Na je wanavunjo wapo tayari kuchagua mtu anaefanya biashara ya siasa badala ya mtu ambaye yupo kwa ajili ya kwenda kutetea maslahi yao bungeni?. Naomba maoni yenu wana JF
Anayo haki kubadili strategy aonavyo inafaa.Alianza na biashara ya Jumla ( Urais), ameona hailipi , kahamia biashara ya rejareja.... its fair.