Nahisi kucheza rap za chokoraa lakini hiyo ndio hali halisi
jamani kwa waliokuwepo kwenye amani forums kwangu mimi na wenzangu tulicheka tukaasema basi
siku hiyo aliamka mh sana augustino lyatonga mrema alipoanza kwa kumsifia rais kikwete,..baada ya hapo aakamalizia kwa kusema akuna mwenye uwezo wa kumpinga jk hata kidogo,...kikwete amefanya mambo makubwa mengine hayaelezeki,..uwii akuishia hapo watu wakifunga mdomo akasema mnataka rais afanye nini??nyie ssm mnamtuana rais wenu amjui umuhimu wake wananchi kliiii kliii kliiiiii,,m nawambia msione cheo cha urais kirahisi hivyo,kuna kazi kubwa wengi wanadai nimehongwa na jk,hana uwezo wa kunionga huyu,..ila amefanya kazi nzuri na akika asiempigia 2010 atajilaani mwenyewe,,,akuishia hapo babu akasema mnataka afanye nini kamtosa rafiki wake wa karibu kabisa lowassaa,,,,tatizo mnalijua mtu akiaharibu anahamishwa badala ya kufukuzwa yeye alimwambia rafiki kipenzi aondoke asimchafulie,..ona enzi za nyerere nae anaahamisha tu angalia mwingira yeye alipoaribu akaishia kupewa ukuu wa mkoa,,ukiharibu unaweza panda cheo hiyo ndio ccm,...ona balozi mustafa nyanganyi alipoleta kivuko bomu akaishia kupewa ubalozi wa marekani ....we unataka rais wangu kikwete anywe sumu mjue kakasirika,...msihusishe baba wa watu na mafisadi,....
Yaani nilijihisi kucheza ndombolo la papii kocha na wakina chokoraa,...sasa najiuliza mtu huyuy huyuy jamaani ametangaza kugombea urais kupitia tlp,..sasa huu sio mtaji jamani tuguzanguni sasa nimeamini kuna umuhimu wa cag kupitia matumizi ya vyama vya siasa,...tena kwa hara zaidi na chama kitakachokutwa na ufujaji wa fedha wasipewe nafasi kushiriki kabisa hata iwe chama chetu cha majambazi