FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 731
Kama JK ni msafi kama ninavyomfikiria visenti vitarudi tu!
Kama JK ni msafi kama ninavyomfikiria visenti vitarudi tu!
Gazeti jongo. Limeandika habari za kuotea otea tu. Chenge kasema hasemi lolote, kashaingia katika hali ya kujitetea, sio kujiuzulu. Nchi za watu ukiandika kama hivi gazeti lako ndio mwisho wake.
Vyombo vya habari Tanzania ndio kiungo dhaifu kuliko vyote kwenye mnyororo wa kuvuta gurudumu la maendeleo.
Pinda ambaye alikuwa akijibu maswali kutoka kwa waandishi wa habari waliotaka kujua msimamo na hatua za serikali dhidi ya Chenge, alisema wawaache Rais Kikwete na Chenge wamalizane kwa sababu Chenge ni mteuliwa wa rais.
"Tungoje, Chenge ni mteuliwa wa rais na rais amesharudi, tusubiri aamue mwenyewe kitakachofaa, hakuna kitakachoharibika," alisema Pinda.
pinda hawezi kutuambi tumuache JK alimalize hili kwa kuwa yeye ndo alomteua! its totally bollocks!
basi mawaziri wote na wafanye madudu watakayo, kisha tumsubiri JK manake ndo alowachagua!
hivi hawa viongozi huwa wanafikiri saa zote kuwa wao wanaongea na watoto wadogo au?
Ni vijisenti mapesa yako kwa Mkapa na Mramba.
Kwa Kifupi Ni Hasara Ya Kama Billioni 6 Mpaka Sasa Wasiojua Billion Ni 6,000,000,000.hatujajenga Uwanja Wa Pinda International Airport,,,,,,,,mi Nafikiri Sasa Hivi Undwe Kamati Za Kuchunguza Malipo Na Matumizi Ya Mashirika Ya Umma Kutoka Bungeni Hapo Ndipo Tutakapojua Ufisadi Halisi Wacha Uko Epa,,,
Bwana Awe Nanyi.....