Kwanza nianze kwa haya:
Hapa ni mjadala wa wazi..wazi kabisa. Yeyote apendaye huwezi kutoa hoja ama maoni yake, hivyo basi unaweza kuwasilisha hoja yenye kubeba maana kubwa na ukweli, lakini wana JF wakakupinga . Hapo jifunze kitu kimoja: panga vizuri hoja zako – wana JF huwa wanapenda kuchimba ndani kabisa ya hoja. Jukwaaani hapa si mahali pa ndio mzee!
Kuhusu thread yako Mkuu Njowepo:
Siku ya kusaini mkataba huwa ni ceremonial tu, sio siku ambayo mkataba unaandaliwa!
Siku ya kusaini wanasaini kilichokubalika kabla.......
Hii haijakaa sawa, tafadhali Mkuu rudi mezani kafikirie kingine cha kuandika!
Hapa ni mjadala wa wazi..wazi kabisa. Yeyote apendaye huwezi kutoa hoja ama maoni yake, hivyo basi unaweza kuwasilisha hoja yenye kubeba maana kubwa na ukweli, lakini wana JF wakakupinga . Hapo jifunze kitu kimoja: panga vizuri hoja zako – wana JF huwa wanapenda kuchimba ndani kabisa ya hoja. Jukwaaani hapa si mahali pa ndio mzee!
Kuhusu thread yako Mkuu Njowepo:
Siku ya kusaini mkataba huwa ni ceremonial tu, sio siku ambayo mkataba unaandaliwa!
Siku ya kusaini wanasaini kilichokubalika kabla.......
Hii haijakaa sawa, tafadhali Mkuu rudi mezani kafikirie kingine cha kuandika!