Kuna mtu alisemaga eti Pinda anaonekana ni mzungumzaji "mzuri"....
Kuna mtu alisemaga eti Pinda anaonekana ni mzungumzaji "mzuri"....
Personally sina tatizo na Pinda ila anaonekana kuwa tayari kutetea status quo kwa hiyo amenitisha sana. Hata hivyo nitamualika kwenye babikiu akija kiwanja!
Ngabu,
Personally sina tatizo na Pinda ila anaonekana kuwa tayari kutetea status quo kwa hiyo amenitisha sana. Hata hivyo nitamualika kwenye babikiu akija kiwanja!
Sasa mimi shem wako mbona hunialikagi kwenye hizo babikiu zako na kukauti?
Aliposema waachwe wamalizane nadhani ni tahadhari kwa wananchi kuwa masuala ya kitaifa hayawahusu!Ila mh rais na fisadi's!Mimi hawa waandishi wa habari wananitia kizunguzungu. Ni wapi aliposema Pinda kuwa tuwaache JK na Chenge wamalizane? Nilichokielewa mimi na elimu yangu duni ni kuwa Pinda amesema tumuache Rais alimalize suala hili maana yeye ndiye aliyemteua Chenge. Kumalizana ninavyoelewa mimi ni kuwa hawa wawaili tuwaachie wadundane mpaka hapo wote wawili watakaposhindwa kuendelea! Kitu ambacho sidhani Pinda anaweza kukisema.
Mimi hawa waandishi wa habari wananitia kizunguzungu. Ni wapi aliposema Pinda kuwa tuwaache JK na Chenge wamalizane? Nilichokielewa mimi na elimu yangu duni ni kuwa Pinda amesema tumuache Rais alimalize suala hili maana yeye ndiye aliyemteua Chenge. Kumalizana ninavyoelewa mimi ni kuwa hawa wawaili tuwaachie wadundane mpaka hapo wote wawili watakaposhindwa kuendelea! Kitu ambacho sidhani Pinda anaweza kukisema.
Ni kweli..ndiyo iliyombeba mkuu na sasa tunaona madhara yake!Fundi Mchundo, heshima mbele.
Kungekuwa kuna watu wengi kama wewe, wanaochunguza na kusoma vitu mara mbili mbili, Bongo tungekuwa mbali sana.
Huwa naimba, Tanzania hakuna Media.
Kwa maneno ya mitaani, 'kumalizana' pia ina maana mnakutana mahali na kuelewana, kwa mfano unapokuwa unatoa teni parsenti unamwambia mtu, "hebu nifanyie hiyo kazi alafu baadaye tutamalizana." Nadhani inategemea maenno ya Pinda yalisemwa katika mazingira gani. Tusiwe wepesi wa kulaumu media.
hii link hapa inaelezea jinsi mambo alivyokua upande wa nigeria kuhusu vijisenti vyao.
http://www.thelawyer.com/cgi-bin/item.cgi?id=129788&d=415&h=417&f=416