Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,580
- 23,914
To Wote and particularly Mods,
Hapa kwenye nukuu naona BAK (kama nakosea naomba kurekebishwa) katoa content ya PM kutoka kwa FMES.
Nadhani hii si kitu kizuri na ni aina fulani ya utoto..Hii si tu ni ku-violate mutual consent na privacy kwa ujumla, bali BAK anadhihirisha yaliyoko moyoni mwake na yeye ni mtu wa namna gani (zero credibility).
Nafikiri pia hii ni angalisho kwa members wote kuwa macho na baadhi ya watu tunaokutana hapa jamvini na kuanza kutumiana PM. Kuna kila dalili kuwa kuna watu hawana 'vifua' na sijui ndo ujinga, upumbavu au vyote kwa pamoja.
Napendekeza kitendo hiki cha BAK kiainishwe na kukemewa mpaka tujiridhishe kwamba adhabu muafaka inakuwa issued kwa vitendo kama hivi visijirudie.
Namwaga upupu..
Ama wewe ni mgeni hapa JF ama hufuatilii yanayotendeka. Ni kawaida ya FMES kuweka hadharani PM anazopelekewa. Amefanya mara nyingi tu na mimi niko tayari kuthibitisha kama atakanusha. BAK kampa tu dawa yake ama ndiyo yale yale ya mkuki kwa nguruwe. Hata hivyo siungi mkono kufanya hivyo.