Mkuu heshima mbele sana,
Anyways kwa hapa JF sitarudia tena hiyo imetoka it is over, nimnekua under big pressure kwa muda sasa kuwa nitoke, kutoka kwa wenye biashara ya habari bongo, hasa mkulu wa ippmedia, ambaye nina-deal naye sana on daily bases, kwa hiyo hapa I am out, sitarudi tena.
Mengi siwezi kusema hapa maana najua PM yangu iko under 24 hours watch, ninajua wewe ni nani nipigie kwenye 888-888-8888, au 111-111-1111 nitakupa all the stuff, na pia next week nitakwua na dataz kwenye Raia mwema, halafu ngoja nikupe siri mabya unajua hizi arcticle za media bongo unazoleta hapa JF 70% ni mimi ninayezichora kule bongo?
Au niwekee namba nitaku-beep, later,
Respect!
Mtindiowaubongo. Bubu Aliyeamua Kusema ametoa baada ya yeye kushutumiwa kupeleka PM ya kujipendekeza. Ametoa kukanusha madai dhaidi yake ya huyo aliyemtumia PM. Haujamtendea haki hapa.
Hayo ya kuwatuhumu wenzako kuwa wajinga na wapumbavu ndicho kinachobidi kukemewa na si Bubu Aliye amua Kusema.
Amandla.........
Kuna kila dalili kuwa kuna watu hawana 'vifua' na sijui ndo ujinga, upumbavu au vyote kwa pamoja.
Hakuna sababu za msingi zinazojustify kitendo alichofanya..nazidi kupendekeza kuwa apewe adhabu kali kwa utovu wake wa nidhamu..
Nikakuuliza mimi ni nani kama kweli unanijua ukaingia mitini moja kwa moja, leo unadai mimi mtu wa pwani...ha ha ha ha. Acha hizo wewe!!! Ulikolalia mimi ndiko nilikoamkia!!!! Mkulu wa IPPMEDIA bado anakupa pressure uondoke JF!!!!? Kwa kujikweza tu!!! Duh!!!!
LOL!!!! hutarudi tena JF eh !!!!? LOL...ulikuwa unasema kweli au kamba zako tu zisikuwa na kichwa wala miguu. Haya nenda 'Mkulu' huyo 'Mkulu' wa IPPMEDIA hataki kukuona hapa usije ukamwaga unga bure ... LOL!!! I too can rest my case. Have a great weekend It is over!!!!
[/QUOTE]"According to more dataz, ni kwamba pekua pekua ya wazungu ndani ya nyumba ya Chenge, iliibua shillingi billioni moja cash za kibongo.........!
Na more dataz ni kwamba the next in line ni the man Mramba, inasemekana aliyoyafanya ya ufisadi wa mapesa yetu walipa kodi hayana mfano, ikiwa ni pamoja na kuwasamehe kodi makampuni mengi ya kigeni hapa bongo, ambayo yamekuwa yakimpa mgawo, na huko Radar yumo sana na wengine wengi,
Halafu pia kuna the X-factor wa hizi kesi zote zinazowahusu mafisadi, anaitwa Mary Kejo ninataka kuamini kuwa anayajua yanayokaribia kumkuta hivi karibuni.........! Halafu pia tunaendelea kupata very incouraging dataz kuhusiana na viongozi wakuu kuwa nasi hapa JF, sasa inakubalika among viongozi wote wakuu kuwa JF ni mahali pa must see kila siku, na ku-print ishus na kuwa nazo mikobani, hivi karibuni mkulu Kinana, akiwa safarini Dubai aliwatolea wakulu wengine kwenye ndege copy za ishu za miafaka hapa JF na kuwashangaa sana aliowatolea kuwa iweje kuwa haiwajui hiii forum ya JF?
Na more dataz ni kwamba Mkulu Lukaza ambaye anajulikana sana hapa mjini kwa jina maarufu la "Johnson Johnson", unakumbuka yale maneno ya EPA na BOT, ni kwamba huyu Mkulu sasa tayari miguu juuu maana serikali tayari imeshika karibu 80% ya mali zake zote,"
Mtindiowaubongo.
Bado haumtendei haki Bubu Aliyeamua Kusema. Ungekuwa kweli unasimamia haki basi hii sense yako ya outrage tungeiona mapema wakati mashambulizi yameelekezwa kwake! Hapa unachotaka kufanya ni kumwaga upup tu!
Neno sijui halibadilishi muelekeo wa hoja yako kuwa uliowalenga ni wajinga na wapumbavu. Unawa-underestimate wanaosoma na wanachama wa jamvii hili.
Hata hivyo, I apologise kama ulivyo-demand.
Amandlaa........
Mkuu MWK,
Heshima tena mbele mkuu, ninashukuru sana kwa huu ujumbe na pia nitoe shukrani kwa Forum kwa ujumla na wajumbe wake wote, na hasa Mkulu Invisible kwa kazi kubwa ya kuiendesha hii forum, sio kazi ndogo ndio maana nimeombwa sana kufungua forum, na kuna wakati nimeombwa ni-promise au kusaini mkataba kwamba wakinifungulia forum nitaji-commit huko 100%, Jawabu langu limekua hapana kwa sababu this is my home, hapa ndipo jina langu lilipozaliwa na kufikia lilipo sasa, leo ninaweza kugonga mlango wowote wa siasa bongo nikasema tu mimi ni FMES unafunguliwa sasa siwezi kupakana paliponifikisha hapo, na sasa hata nimefikia hatua ya ku-make money kwa kutumia hili jina, lakini the most important ni heshima nzito kutoka kwa jamii, kuanzia humu ndani mpaka nje ya hapa forum.
Kwa sisi Wa-Kristo, Mungu anasema tukiweza tuishi kwa amani na binadam wote, sasa kwangu the most important word hapa ni "tukiweza", maana yake ni kwamba hata Mungu anajua kua haiwezekani kuishi kwa amani na binadam wote duniani, licha ya hapa forum peke yake. Siasa ninajua kua ni mchezo mchafu sana, I was born and raised in politics, kwa sababu nikiwa mdogo sana tayari nilikuwa ninaenda Ukonga jela kumuona mjomba wangu Anangisye, aliyekua kule kwa sababu ya siasa, kwa hiyo sikuichagua siasa ila ilikuja yenyewe, since then ninaishi maisha yangu, lakini percent kubwa ni siasa and I love it.
Ninaelewa kuwa, hapa ndani kuna siasa na biashara pia, kwa hiyo maamuzi mengi lazima yaheshimu hayo mawili ingawa la biashara lazima litangulie kwanza kwa sababu somebody has to pay for us kuwepo hapa, na ni lazima niwe mkweli of how much I respect bwana mdogo Max, kwamba at his age anaweza kuwa na busara ya ku-maintain hii forum inayoingiwa na millions of people tena wenye akili mbali mbali.
Malumbano ya siasa ni kitu cha kawaida katika siasa na kwa wanasiasa, kwa sababu wanasiasa wa kweli at the end of the day tunajiuliza kuwa kwenye haya malumbano nime-accomplish what? That is it mengine yote ni part ya kua-accomplish the goal. Tanzania sasa ni nchi ya kibepari sio ya kijamaa tena, sasa kwa sisi wananchi ni wakati wa kujifunza namna ya kuzitumia opportunities zozote zinazojitokeza mbele yetu, na hii forum ni mojawapo kwamba kuwepo kwangu hapa miaka yote hii nimefanikiwa nini betweeen malengo mawili niliyosema mwanzoni, yaani siasa na biashara ndani yake
Kwa hiyo ndugu yangu Mwafrika Wa Kike, shukrani kwa heshima hii, na naomba niseme kwamba as far as mimi binafsi, ukweli ni kwamba what you see here is what you get ukikutana na mimi personal, sina sura mbili wala unafiki, straight to the point, na kama ninavyosema mara nyingi sana kwamba ninachojua ninakijua, na ukishafika level niliyonayo ya u-FMES, inafikia mahali info zinakuja zenyewe bila kutafuta sana, kwa mfano majuzi kuna mtu amenitumia message, akisema kua anajua Balali alipo, na akanipa details nifuatilie, haya kwangu sasa yamekua ni ya kawaida, sasa sijigambi lakini ni ukweli ambao siwezi kuukwepa, info ninazoweza kuzitoa ninazitoa na nisizoweza kuzitoa sizitoi,
Mbona aliyepost PM kabla ya BAK husuggest adhabu kwake'? au ni BAK pekee asiye na haki ya kupost PM na kustahili adhabu kali? just curious...
Inashangaza unamtetea kwa hili. Habari ya kukemea sijui thread nzima ..kumbuka nina haqq ya kuchagua ninachotaka kuchangia na wala sijaajiriwa kama hakimu au critic hapa JF. Naomba kuwa mwelewa ktk hili.