The Radar Scandal: Investigation & Progress



Duh! Bubu Umetumwa nini!?
 
Mnatuogopesha jamani... kila kitu ni malumbano ya wenyewe kwa tu, kulikoni!!!!!
 

- Huwezi ku-question dataz wakati wewe mwenyewe huna dataz, it is just dead end! Mkuu Yrsmne, niachie form here I got it niachie mwenyewe I ill take care of this, Bubu bring it on!.

Sauti ya umeme, FMES!
 

Mkuu ikiwa habari hizi ni za kweli, na ikiwa muungwana kaamua kufanya hivyo, Baaasi, nitaanza kumpenda ghafla. Lakini anamengi bado ya kufanya. Maadamu katika yeye yamefanyika mengi ya kinivunja matumaini na imani yangu kwake, basi anabidi afanye mengi ili kuirudisha imani yangu kwake!
 

"Mkono mzito" ana nguvu ya kuamuru Benki binafsi isitoe mkopo ?

"Mkono mzito" alipigiwa simu na benki by next day kwamba "hey kuna Yona hapa anaomba mkopo" ?

Baharia, baharia, mbona hivyo tena ? Ha ha ha ha aa aaaaa!


Alirekodi kwa kutumia peni maalum iliyonunuliwa Eastern Europe, ambayo ina uwezo wa kurekodi maneno na picha, kwa hiyo Mengi ana tepu na video.

Inarekodi "maneno na picha." Halafu inatoa "tepu na video."

Tepu na Video ?

Peni ina video camera. Video camera hiyo haitoi sauti. So, you need tepu na video. Okay. 😀

Tepu na Video!
 
- Huwezi ku-question dataz wakati wewe mwenyewe huna dataz, it is just dead end! Mkuu Yrsmne, niachie form here I got it niachie mwenyewe I ill take care of this, Bubu bring it on!.

Sauti ya umeme, FMES!

Kwa hiyo kama hatuna 'dataz' wewe mwenye 'dataz' hata ukileta 'dataz' ambazo zimekaa kushoto kushoto basi tusihoji chochote tuzikubali tu ...LOL! What an excuse!!! Hebu imagine JK awaambie Watanzania hatuna 'dataz' zozote kuhusu EPA, hivyo hamstahili kuhoji chochote!!!

By the way ile kazi uliyotwambia itakufanya uonekane kwenye magazeti na TV za bongo kwa sana imekuaje? Bado inakusubiri au njemba zimekushtukia?
 
Mnatuogopesha jamani... kila kitu ni malumbano ya wenyewe kwa tu, kulikoni!!!!!

Usiogope chochote MN, hii ndiyo raha ya JF where we dare to talk openly bila kusaza chochote kile.
 
- Alirekodi kwa kutumia peni maalum iliyonunuliwa Eastern Europe, ambayo ina uwezo wa kurekodi maneno na picha, kwa hiyo Mengi ana tepu na video.

Peni yenyewe inaweza kuwa kama hii hapa. Tena nafikiri jamaa anayesema atakuwa Mrusi maana kama Putin anaongea.

[media]http://www.youtube.com/watch?v=7LxiH9R9VKA[/media]
 

LOL!...Kuhani! You're too funny! 🙂
 
Mkulu Heshima mbele,
Nimefuatilia hii thread toka mwanzo.Nakushauri, INATOSHA.
Wewe ni mmoja wa members ambao ukiondoa mapungufu ya hapa na pale unaheshima yako,INATOSHA MKUU,angalau hapo ilipofikia.
Kwa suala la Kutoamini kama Muungwana anaweza kumtosa waziri wake...!!! basi huyo ndiyo JAKAYA KHALFAN MRISHO WA KIKWETE,rais wa URT,wengi wetu HATUMJUI kwenye hilo.
 
Mkulu hii game inaonekana inakupa raha kwelikweli.
Kuna wapenzi wa Taarab,Soka,Muziki n.k
ES NI MPENZI WA KUWAKOMA NYANI MAFISADI.
Mkulu naona huu ndio ugonjwa wako.
Kwa kusoma hayo uliyoandika hapo juu,inabidi mtu asikae mbele yako...KWA KUWA MKULU UNA MIDADI........Kwi.. kwi.. kwi..hhhhhhh...
 
Duh sasa Tina unatutisha sasa unataka umpe raha gani FISADI huyo??unataka mle wote za RICHMOND?mmh wabongo bwana unakimelea cha ufisadi nini??mfatilie anaweza kukukonyeza.
Tina alikuwa alikuwa ndani anapika, aliposikia jina mamvi...huyo...katoka.....angalia asije AKAKOPA
 
Kelele za mlango huwa hazisumbui mtu kulala ndani ya nyumba,

wakuu niko busy maana nina ugeni mkubwa sana wa viongozi wa taifa,

kwa hiyo samahani wakuu sina muda wa kujadili pua, maana niko busy ninakula darasa la siasa ya taifa letu.

Andikeni points muhimu kusudi niwaonyeshe hawa wakuu wa taifa, maana siwezi kuwaonyesha hizi pumba!

See you later and have a nice day!


Master illusionist or loyal messenger, the intended mission is but one to net the nettable and boy, are there plenty of fish in the vast oceans ? No wonder CCM thrives amidst all the filth surrounding it. As Nyani ngabu would nail it right on the head - Ndivyo tulivyo !!.
 
JF has finally enter a silly season, ni kawaida lakini kuna wakati JF inaingiliwa na shetani mmoja ambaye lengo lake kubwa ni kuleta distraction. Members tunaacha kujadili issues kutokana na dataz, matokeo yake tunaaza hoja za uchwara, na kuonesha uchwara wa hoja. Good thing is silly season always fades away so quickly
 
- Huwezi ku-question dataz wakati wewe mwenyewe huna dataz, it is just dead end! Mkuu Yrsmne, niachie form here I got it niachie mwenyewe I ill take care of this, Bubu bring it on!.

Sauti ya umeme, FMES!

Kwa utii mkubwa FMES,

Unaweza kwa kuonyesha contradictions kwenye hizo dataz zenyewe, kwa mfano.

Na mtoa dataz ni vizuri asimkasirikie aliyefanya hivyo, kwa sababu ku-question huko kunaweza kukawa hakutoshi kuonyesha dataz hizo ni za uongo. Ila tu kwamba maelezo ya zaidi yanahitajika ili dataz hizo ziaminike zaidi.
 
Si ndio hapo sasa!! jamaa wanachekesha sana....na wataua hiki kijiwe kwa hii tabia ya makundi makundi na ku-gang up against watu..🙁

Hakuna makundi hapa JF watu wanahaki ya kuhoji habari zozite zinazowekwa hapa na kusema kwamba kuhoji ni kuonyesha makundi ndani ya JF ni kutaka kuwanyima wanachama wa JF haki yao ya kuzungumza bila kuonekana kwamba wana makundi, wanataka kumchafua mtu, hawamheshimu mtu. Acha hizo kaka huu ni mwaka 2008 nasiyo mwaka 47 waache watu wawe huru kuhoji chochote kile wanachoona kuna haja ya kukihoji zaidi.
 
1.
- Mkuu najua kwamba nimekuudhi sana kutokana na kumpiga mawe mtu wa pwani mwenzako, lakini I loove this game, ninaruida hivi kama huna dataz huwezi ku-question dataz, unless una dataz zinazozidi dataz, kwenye hili sina la kukusaidia, anytime ukiona nimeleta dataz za uongo lete za ukweli, otherwise unaweza kuendelea kulia lia hapa siwezi ku-help, na nitaendelea kuleta dataz hapa kama kawaida, maana nyinyi watu .5% hamuwezi kuwaamulia wananchi 99.95% wasipate dataz,

- Acheni ubinafsi na udini wenu hapa, pelekeni huko kwenu huu ni uwanja wa taifa wananchi wanakula elimu ya bure ya taifa lao, na dataz muhimu za taifa lao, mmegeuka vimbwenelehi kulia lia na ukuta, mimi ni moto wa kuotea mbali nitawaunguza!


2
. By the way ile kazi uliyotwambia itakufanya uonekane kwenye magazeti na TV za bongo kwa sana imekuaje? Bado inakusubiri au njemba zimekushtukia?

- Mambo yote yako ontrack, ninaendelea kama kawaida, maana kama nilivyokuambia 80% ya magazeti unayopaste paste hapa JF yana habari zangu, sasa uamuzi ni wako kula Raw dataz hapa JF, au kula purified dataz kwenye magazeti, lakini I am all over na ninaendelea vizuri sana tena sana. In fact kuna TV mpya ya mshikaji wangu mmoja huenda soon ikajitolea kutoa some majadaliano ya hapa JF, hii nakupa hint tu maana sio level yako ni ya juu mno kwako.

Thanxs Guy!
 

- Ndio maana ukaitwa mkono mzito maana siku moja ulisimamisha interview ya Lowassa kwenye TV, the rest of your cry ni irrelevant na inaonyesha uwezo mdogo sana wa kufikiri kama sio kuelewa,

wakuu vipi mbona hakuna challenge hapa naona vilio tu vipi? Bubu nipo sasa now bring it on tumkome nyani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…