Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,000
- 828,767
Huwezi kuaminishwa huo ni utashi binafsi baada ya kutambua na kuamua kuaminiSamhan tena sana! Kwa mtu kama mimi ambaye sihamin uchawi naweza kuaminishwa vip??
Huwezi kuaminishwa huo ni utashi binafsi baada ya kutambua na kuamua kuaminiSamhan tena sana! Kwa mtu kama mimi ambaye sihamin uchawi naweza kuaminishwa vip??
Hapana haya siyajui wala sijawahi kuyasikiaNlisikia ili mtu aweze kufanya uchawi anahitaji kiota cha inzi,hirizi ya simba na ngekewa.Tafadhali unaweza elezea mambo haya kwa kifupi kazi zake?
Akili zao bado zinakuwa hazijawa contaminated na uchafu wa kiduniaUnadhani ni kwanini, huo uwezo wanautoa wapi?
Ni kweli kabisa wao wanaopotea na wanaibuka wapya wanotumia ibada za kuzimuMkuu mshana ,kadri siku na miaka zinavyoenda ukijumuisha na masuala ya elimu na utandawazi inasemekana kuwa nguvu za uchawi na uganga zinapungua sana mfano waganga wa zamani walikuwa na nguvu sana but siku hizi wenye nguvu ni wakubahatisha ni yapi maoni yako kwenye hii hoja?
Sio uchawi ni ufunuo wa jicho la tatuHivi kwa mfano mimi huwa naota ndoto ambazo zote nathibitisha ni ukweli na uhalisia. Je na mimi nina chembe za Uchawi!? Karibu mshana Jr
Inayomwamini Mungu mmojaMkuu hivi wachawi huogopa dini gani zaidi?
Sio wote ila mganga wa kweli hahitaji pesa kwakuwa akitaka kitu anakipata bila hata ya kusogeza mguuBrother kwa nini waganga wengi maisha yao duni?
athante kaks, ila hongera kwa kuwa na kipawa cha kujua mengi brooOoh vizuri karibu
Hahahaaaa.... 🙂🙂🙂😉😉Bank zinaibiwa sana na baadhi ya wachawi Lakini hawatangazi kwakuwa hakuna palipovunjwa na pia kuwaaminisha wateja kuwa pesa yao iko salama
Umejuaje!? Je kuna request rasmi imeombwa kuwaroga?
Hapana ni mojawapo ya vitabu wanavyoogopa mno
Wanazishika wakiwa machoni pa watu nje ya shughuli zao...wakiwa kule Biblia huwekwa mbali kabisaReally? mbona asubuhi utawaona wako wameshika biblia wakikimbi uwahi misa, usiku wanaruka? Kuna hawa wachungaji wa Kinigeria na hawa wa kwetu, wanashika biblia huku wakisali kwa mkazo ila usiku wanawanga, inakuwaje? Kwani zile si biblia wanazoshika na kudanganya waumini wao?