The Interview: mshana Jr.

The Interview: mshana Jr.

Kwa nini waganga wengi wa kienyeji siyo matajiri??? Na inaaminika huwapatia watu wengine dawa na kuwa matajiri?? Hii imekaaje INA maana wao wanapenda umasikini na kuishi Maporini na sehemu Duni??
Utajiri wa mganga ni zile zana zake! Hahitaji fedha kwakuwa kila anachotaka anapata....iwe ni kusafiri chakula nknk
Sio wote wanaishi maporini na wapo ambao ni matajiri lakini wamechanganya uganga wao na mengine
 
Je! Pesa Ni uchawi ?? Kwa nini hata mchawi awe mtaalam vipi hawezi kuingia bank na kuchukua pesa zilizoko bank hadi asubiri MTU aziweke mfukoni au awe nazo kwanza ndo MTU aweze kuzifanyia ushirikina?? Kwa nini wasiende moja kwa moja bank pasipo kuonekana??
Bank zinaibiwa sana na baadhi ya wachawi Lakini hawatangazi kwakuwa hakuna palipovunjwa na pia kuwaaminisha wateja kuwa pesa yao iko salama
 
Watu wana akili sijui za wapi. Ndiyo maana Acacia wanachenjulia makenikia nje Punguani wa wahed nyie.

Mwanzo nilitahadharisha kabisa msicomment hadi baadae ili twende kwa utaratibu ila bado mmeendelea tu au hayo macho yenu na vichenjulio vya ubongo vinachenjua makapi ya miwa? ???


Mshana samahani bro uzi umeharibika nimekupotezea muda bure. Nipo tayari kuulipa muda wako.
Usijali kaka kabisa twende tu mdogomdogo
 
Back
Top Bottom