The Interview: mshana Jr.

The Interview: mshana Jr.

Mshana Jr naomba kukuliza hivi ni kwani watu wengi wa kanda ya kaskazini wakinunua magari lazima wakachinje kondoo ile damu ipakwe kwenye gari..? ile damu ya kondoo inasaidia nin...
 
Lako ulifanya?

bado huyu babu ananishawishi nitume laki moja moja eti ya kutafuta mbuzi ili nikienda niikute sasa nimemuliza mzee akawa anancheka hajanipa jibu direct nahisi babu yang amemis kunywa supu na bia sasa ameona gia ni anikamate masikio mim ..eti gari jipya ni lazima tuchinje sijui kondoo sijui mbuzi ..sasa kila ninayemuuliza mwenye gari nyumban ananicheka na kuniambia nitakupigia badae,,,sasa nipo moshi sijapeleka mguu rombo...na likizo inakaribia kuisha ..daah nahisi kama babu anataka kunitapeli ...vile ndo maana nikamuuliza mshana jr kama kuna ukweli ?
 
bado huyu babu ananishawishi nitume laki moja moja eti ya kutafuta mbuzi ili nikienda niikute sasa nimemuliza mzee akawa anancheka hajanipa jibu direct nahisi babu yang amemis kunywa supu na bia sasa ameona gia ni anikamate masikio mim ..eti gari jipya ni lazima tuchinje sijui kondoo sijui mbuzi ..sasa kila ninayemuuliza mwenye gari nyumban ananicheka na kuniambia nitakupigia badae,,,sasa nipo moshi sijapeleka mguu rombo...na likizo inakaribia kuisha ..daah nahisi kama babu anataka kunitapeli ...vile ndo maana nikamuuliza mshana jr kama kuna ukweli ?
Haha peleka bwana labda kikwenu linamaana usije ukapata ajali tutakumiss sisi.
 
Haha peleka bwana labda kikwenu linamaana usije ukapata ajali tutakumiss sisi.

hapan maan ingekuwa hivyo sasa familia nzima ingeangamia ..na ingekuwa ni kweli wazazi wangeshanifurusha huku niende ,maana kila ninayemuuliza hilo wa familia yangu ananicheka ..sasa huon babu anataka hela ila gia aliyoingilia siyo..
 
hapan maan ingekuwa hivyo sasa familia nzima ingeangamia ..na ingekuwa ni kweli wazazi wangeshanifurusha huku niende ,maana kila ninayemuuliza hilo wa familia yangu ananicheka ..sasa huon babu anataka hela ila gia aliyoingilia siyo..
naomba nisitie neno hapo
 
Back
Top Bottom