The Interview: mshana Jr.

The Interview: mshana Jr.

Mshana nasikia kuwa kupitia meditation Unaweza hata kuja Mawazo ya MTU au vitu vitavyotokea mbelen, HIV kuna ukweli wowote na kama kweli inawezekanaje
Inawezekana kabisa kupitia kufungua jicho la tatu ila kuna masharti mengi na practice ngumu kuweza Ku attain hiyo
 
Gamboshi ipo ni kijiji cha kawaida machoni pa wengi ila kwenye dunia ya giza ni habari nyingine
Vyeo vya wachawi vipo kutegemeana na makafara lakini kuna ranks zinazotambulishwa na bangili ya shaba mkononi
Umenitisha mkuu kwa hiyo wavaa bangili ya shaba ni wachawi sio
 
Mshana Jr nisaidie ,nimepanga kwenye nyumba yenye ghorofa floor ya pili ila kila nikiingia ndani iwe mchana au usiku kuna sauti inasikika kwenye frem ya mlango kwa juu ,nimewah mwagia maji ya Baraka ikaacha kama dkika tank lakn kikarudi hivohivo,nikasema labda ni mim peke angu nakisikia akaja mdogo Wang akakisikia alishangaa kusikia hiyo sauti ya mdudu Ikilia,Sikh nikisali sana au nikipiga gospel hakiliki kinaweza toweka hata siku mbili nalala bila kukisikia maan nikikisikia nakosa usingiz Nanak kukemea,tatixo litakuwa ni nn
 
Kwa nini mtu anaye tafuta fedha kwa njia za kishirikina wakifa na mali zao huwa zinapotea?

Swali la mwisho

Kuna wachawi ambao wao hutumia ushirikina katika kujipatia fedha unakuta hufanikiwi lakini ana fanikiwa mwingine...je ni kitu kipi au njia zipi ambazo zinaweza kutumika katika kujitoa katika dhana nzima ya ulimwengu wa giza?
 
Mshana Jr nisaidie ,nimepanga kwenye nyumba yenye ghorofa floor ya pili ila kila nikiingia ndani iwe mchana au usiku kuna sauti inasikika kwenye frem ya mlango kwa juu ,nimewah mwagia maji ya Baraka ikaacha kama dkika tank lakn kikarudi hivohivo,nikasema labda ni mim peke angu nakisikia akaja mdogo Wang akakisikia alishangaa kusikia hiyo sauti ya mdudu Ikilia,Sikh nikisali sana au nikipiga gospel hakiliki kinaweza toweka hata siku mbili nalala bila kukisikia maan nikikisikia nakosa usingiz Nanak kukemea,tatixo litakuwa ni nn
Mmh weka ndimu kipande na kitunguu saumu uone itakuwaje
Lakini sometimes kuna wale wadudu wanakula mbao huwa wanatoa sauti fulani hivi ila jaribu hiyo hapo juu kwanza
 
Kwa nini mtu anaye tafuta fedha kwa njia za kishirikina wakifa na mali zao huwa zinapotea?

Swali la mwisho

Kuna wachawi ambao wao hutumia ushirikina katika kujipatia fedha unakuta hufanikiwi lakini ana fanikiwa mwingine...je ni kitu kipi au njia zipi ambazo zinaweza kutumika katika kujitoa katika dhana nzima ya ulimwengu wa giza?
Zile ni pesa za masharti na mazingara ambazo zinamhusu mhusika tu ,akiondoka nazo hazikai
2. Sio wote wengine wanafanikiwa lakini ni mafanikio yasiyodumu na njia ya kutoka huko ni kumrudia Mungu tu hakuna namna nyingine
 
Mmh weka ndimu kipande na kitunguu saumu uone itakuwaje
Lakini sometimes kuna wale wadudu wanakula mbao huwa wanatoa sauti fulani hivi ila jaribu hiyo hapo juu kwanza

sawa Mshana Jr maan nilikuwa nasubiri kodi iishe mwezi wa saba nisepe,Pia nina sali lingine kahawa mbichi inaweza kuzuia usipigwe songo?
 
Haina shida ila hili la kahawa ni geni kwangu
okey ,,naomba kukuliza swali lingine, hawa manabii wanajuaje uhalisia wa maisha ya watu ? mfano mim kuna siku nilimsindikiza rafiki angu katika kanisa moja la maombezi kumbe kuna unabii,sasa ulipofika muda wa nabii kuprophesisez alikuja akanishika mkono na kunipeleka mbele...akaniuliza naitwa nani nikamjibu akaniambia naona gari unaendesha gari niliguna tu nikamwambia sina gari kwa sasa ila mwezi ujao nanunua..mbali na hilo akaniambia familia yenu lazima muaze kuwa na utajiri mkiwa na miaka 21 na hii kitu ni kweli kabisa nikashangaa amejuaje? tatu ni kwenye suala la mahusiano aliniambia mim ni mwaminifu sana sijui kucheat hapa nilishtuka kidogo ukiangalia anayosema ni ya kweli ,,,sasa huyu nabiii anajuaje au anasoma nyota zetu?
 
Hivyo vitu havipatani na wachawi
Mkubwa mshana, naomba kujua hv ni kweli ukifuga/ukila Nguruwe au Mbwa nyumbani kwako wachawi+wanga hawatakueza..??
Nasikia pamoja na hao wanyama pia ukiwa ni mkata gombe(mlevi wa pombe) pia wachawi+wanga hawatokusogelea maana hawapatani na hii mambo..??? &&#%&**!!!!
 
okey ,,naomba kukuliza swali lingine, hawa manabii wanajuaje uhalisia wa maisha ya watu ? mfano mim kuna siku nilimsindikiza rafiki angu katika kanisa moja la maombezi kumbe kuna unabii,sasa ulipofika muda wa nabii kuprophesisez alikuja akanishika mkono na kunipeleka mbele...akaniuliza naitwa nani nikamjibu akaniambia naona gari unaendesha gari niliguna tu nikamwambia sina gari kwa sasa ila mwezi ujao nanunua..mbali na hilo akaniambia familia yenu lazima muaze kuwa na utajiri mkiwa na miaka 21 na hii kitu ni kweli kabisa nikashangaa amejuaje? tatu ni kwenye suala la mahusiano aliniambia mim ni mwaminifu sana sijui kucheat hapa nilishtuka kidogo ukiangalia anayosema ni ya kweli ,,,sasa huyu nabiii anajuaje au anasoma nyota zetu?
Very simple angekuwa na maono ya kweli asingehitaji kukushika mkono kwanza na kukuuliza jina
Dunia ya giza ina mengi yanayochanganywa na ya kimungu ya kinabii na maono na wengi hawajui kutofautisha
 
Mkubwa mshana, naomba kujua hv ni kweli ukifuga/ukila Nguruwe au Mbwa nyumbani kwako wachawi+wanga hawatakueza..??
Nasikia pamoja na hao wanyama pia ukiwa ni mkata gombe(mlevi wa pombe) pia wachawi+wanga hawatokusogelea maana hawapatani na hii mambo..??? &&#%&**!!!!
Kuna ukweli kwenye hilo kuna mada nimefafanua subiri niitafute
 
Back
Top Bottom