Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,235
- 13,539
Aisee Mura, mbona hiso taarifa sa ripenzi renu hamjasireta pare ofsini kwangu, au ndo umetumia fomura ya fita ni fita kwamba kira kira kitu kitajipa mbere kwa mbere?
Wita ni wita mura!!
Aisee Mura, mbona hiso taarifa sa ripenzi renu hamjasireta pare ofsini kwangu, au ndo umetumia fomura ya fita ni fita kwamba kira kira kitu kitajipa mbere kwa mbere?
hebu pima matendo yangu unayaonaje? Ila usifuate maneno yangu kama huyaamini, utapotea!
Lakini Mamndenyi mbona mie nimekupenda na kukukubali kwa kukuangalia usoni tu, hayo memgine ya moyoni yatakuja baadae sana.
Ili usiendelee kuishi kwa mashaka imebidi tubadilishe undugu wetu na Madame B kutoka binamu nyama ya hamu na kuwa kaka na dada.Hii ni katika kukudhihirishia kuwa nina nia njema sana na wewe lakini pia dadangu Madame B amekudhihirishia jinsi alivyo na nia nzuri sana na wewe, tena ameniambia wewe ni dada yake wa hiari.
Mchumba wangu Mamndenyi ukifanya hivyo utakuwa hujajitendea haki. Au kwakuwa umeshazoea matatizo ya uswazi, talaka kila uchao kiasi kwamba maisha ya raha kwako ya kutulia na wako mpenzi unaona tabu kuyaishi? fikiria mara mbili usije ukakosa mwana na maji ya moto. Au wazee wa zengwe uswazi fc washaafanya fitna? cc: Baba V na Katavi mbona mapema namna hii...???
acha kuangalie uso hapo hautapata ukweli angalia moyo
hapa pia imani inaniishia hilo neno la binamu nyama ya hamu
siliamini tena;
yako wapi Mwita Maranya
hapa ushakuwa kaka,
daah sasa hivi sitaki tena ndoa ya mashaka
unaweza kuendelea na binamu/dada yako kwanza.
Baba V unataka kusema kuwa mimi naweza kuvunja amri na mwenyekiti wangu,
ntake radhi kwanza.
Nalinda ombi lako ulivyosema "TUFANYE SIRI" nimefuta kauli.... umeridhika???
mmmmh
mbado sijaridhika.
Waoooooooooowww... nimefurahije!!!!!Asante mdogo wangu Kima Mchanga.
Nafurahi kuwa na mdogo kama wewe kani umekuwa ukinipa moyo.
Nakupenda sana mdogo wangu.
Mchumba Mamndenyi unajua hadi sasa bado sijakuelewa elewa msimamo wako uko wapi, mbona unayumba sana? Kauli zako muda wote zimejaa controverse, hebu weka mambo hadharani bana, vinginevyo mi ntakimbia huku uswazi sipawezi.
mheshimiwa mwenye kigoda mbona huchoki kunifanyia fitna? utakosa offer ya Kinana Lager LUMO PUB shauri yako.
chagua kati yangu na Madame B
Hapo unatafuta ugomvi na Passion Lady.
Mbona sikuelewi?
Passion Lady si yupo na Ruttashobolwa?
Rudi kwangu nikupe vitu adimu kama vya wakati ule,usijifanye umesahat.
Mamndenyi maliza kwanza yakwako kabla hujaanza kupiga chabo kwa jirani.
Mamndenyi hii sasa ni nini kama si zereu? nitachaguaje kati ya dadangu na mchumba?