Madame B unajua huyu Mamndenyi amekulia uswazi, na pia kila siku anaolewa na kuachika(sijui mzaramo huyu?).Kwa kulitambua hilo nimempa last chance ili ajirudi na kupata maisha mapya ya mtaa wa politiki, ambako hakuna kuacha ama kuachwa, hakuna talaka wala kutalikiana.Akishindwa kuitumia hiyo golden opportunity tunavunja ukaka na udada na kurudi kwenye ubinamu nyama ya hamu.🙂🙂🙂🙂Yoote uliyosema tumeyaelewa.
Ila akizidi kukuzingua mwambie kuwa Duniani Wanawake wengi, wanaume wachache.
Akileta pozi, karibu kwangu Binamu nyama ya hamu.
Nendeni salama.
Mkihitaji Kiungo mkabaji, mniite.
Madame B unajua huyu Mamndenyi amekulia uswazi, na pia kila siku anaolewa na kuachika(sijui mzaramo huyu?).Kwa kulitambua hilo nimempa last chance ili ajirudi na kupata maisha mapya ya mtaa wa politiki, ambako hakuna kuacha ama kuachwa, hakuna talaka wala kutalikiana.Akishindwa kuitumia hiyo golden opportunity tunavunja ukaka na udada na kurudi kwenye ubinamu nyama ya hamu.🙂🙂🙂🙂
Madame B unajua huyu Mamndenyi amekulia uswazi, na pia kila siku anaolewa na kuachika(sijui mzaramo huyu?).Kwa kulitambua hilo nimempa last chance ili ajirudi na kupata maisha mapya ya mtaa wa politiki, ambako hakuna kuacha ama kuachwa, hakuna talaka wala kutalikiana.Akishindwa kuitumia hiyo golden opportunity tunavunja ukaka na udada na kurudi kwenye ubinamu nyama ya hamu.🙂🙂🙂🙂
Fafanua kidogo basi...
nikufafanulie nini? Kwani huyaonagi macho yangu yakiwa malegevu?
Sawa kabisa.
Ili iwe fundisho kwa wale wanawake woote wanaobeep Mapenzi.
Mabinamu tupo.