Hali imekua Tete vipimo havioni tatizo

Hali imekua Tete vipimo havioni tatizo

Yukwapi

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
509
Reaction score
682
Habari Wana jamii health

Mwenzi uliopita nilikutana nawanamke kimwili nabaada ya 4day nilijihisi nina dalili za urinary infection nakuamua kwenda kupima nae.

Majibu kwa upandewake yalikua 100 na zaidi lakini Mimi nilikua na infection 55. (Tuliachana kilamtu na maishayake) tulipatiwa dawa ila kwaupandewangu nilichwa sindano pamoja na kupewa doz ya cypro.

Nikimaliza doz ila sikuona mabadiliko yeyote nikaamua kurud hsp wakanipima tena nakuniambia inaonekana imezidi kuongezeka sana badala ya kupunguza hvyo nikafanye kipimo Cha culture hospital nyingine.
Majibu baada ya kipimo Cha culture nikwamba sina infection yeyote na niliwashauri warudie tena kupima kawaida nawakarudia wakasema sina infection yeyote ila kwa upande wangu

Hali inaizidi kuongezeka maumivu wakat wakukojoa, kutoka na uchafu mweupe wakati wahasubuhi nikiwa nimeamka au kama nimekaa mdaa bila kwenda hajandogo uchafu unakwepo,maumivu kwenye kibofu mpaka mdamwingine naweza shindwa kutembea.


Naombeni ushauri nifanyaje sababu nimeambiwa maji ya vipimo niposawa siumwi ila kwahali niliyonayo Mimi naumwa
🙏🙏🙏🙏
 
Rudi hospitali kubwa yenye wataalamu wa njia ya mkojo (urologist) au magonjwa ya zinaa (STD clinic), fanya kipimo cha urethral swab na ultrasound ya kibofu. Usikate tamaa, endelea kutafuta tiba sahihi.
 
Rudi hospitali kubwa yenye wataalamu wa njia ya mkojo (urologist) au magonjwa ya zinaa (STD clinic), fanya kipimo cha urethral swab na ultrasound ya kibofu. Usikate tamaa, endelea kutafuta tiba sahihi.
Asante ntafanya hvyo
 
Habari Wana jamii health

Mwenzi uliopita nilikutana nawanamke kimwili nabaada ya 4day nilijihisi nina dalili za urinary infection nakuamua kwenda kupima nae.

Majibu kwa upandewake yalikua 100 na zaidi lakini Mimi nilikua na infection 55. (Tuliachana kilamtu na maishayake) tulipatiwa dawa ila kwaupandewangu nilichwa sindano pamoja na kupewa doz ya cypro.

Nikimaliza doz ila sikuona mabadiliko yeyote nikaamua kurud hsp wakanipima tena nakuniambia inaonekana imezidi kuongezeka sana badala ya kupunguza hvyo nikafanye kipimo Cha culture hospital nyingine.
Majibu baada ya kipimo Cha culture nikwamba sina infection yeyote na niliwashauri warudie tena kupima kawaida nawakarudia wakasema sina infection yeyote ila kwa upande wangu

Hali inaizidi kuongezeka maumivu wakat wakukojoa, kutoka na uchafu mweupe wakati wahasubuhi nikiwa nimeamka au kama nimekaa mdaa bila kwenda hajandogo uchafu unakwepo,maumivu kwenye kibofu mpaka mdamwingine naweza shindwa kutembea.


Naombeni ushauri nifanyaje sababu nimeambiwa maji ya vipimo niposawa siumwi ila kwahali niliyonayo Mimi naumwa
🙏🙏🙏🙏
Njoo inbox
 
Habari Wana jamii health

Mwenzi uliopita nilikutana nawanamke kimwili nabaada ya 4day nilijihisi nina dalili za urinary infection nakuamua kwenda kupima nae.

Majibu kwa upandewake yalikua 100 na zaidi lakini Mimi nilikua na infection 55. (Tuliachana kilamtu na maishayake) tulipatiwa dawa ila kwaupandewangu nilichwa sindano pamoja na kupewa doz ya cypro.

Nikimaliza doz ila sikuona mabadiliko yeyote nikaamua kurud hsp wakanipima tena nakuniambia inaonekana imezidi kuongezeka sana badala ya kupunguza hvyo nikafanye kipimo Cha culture hospital nyingine.
Majibu baada ya kipimo Cha culture nikwamba sina infection yeyote na niliwashauri warudie tena kupima kawaida nawakarudia wakasema sina infection yeyote ila kwa upande wangu

Hali inaizidi kuongezeka maumivu wakat wakukojoa, kutoka na uchafu mweupe wakati wahasubuhi nikiwa nimeamka au kama nimekaa mdaa bila kwenda hajandogo uchafu unakwepo,maumivu kwenye kibofu mpaka mdamwingine naweza shindwa kutembea.


Naombeni ushauri nifanyaje sababu nimeambiwa maji ya vipimo niposawa siumwi ila kwahali niliyonayo Mimi naumwa
🙏🙏🙏🙏

Pole sana.

Siku hizi kuna magonjwa ya zinaa ambayo husababishwa na bacteria wenye usugu kwa dawa nyingi (antibiotics) zilizokuwa zinatumika kutibu/kuua hao wadudu huko nyuma.

Kwa hali ilivyo sasa ni muhimu sana kutumia kinga au kuepuka kabisa ngono zembe.

Kama bado kuna usaha unatoka basi unahitaji uchunguzi zaidi.

Kila la kheri.
 
Back
Top Bottom