Thanks Arushaone kwa kunipigania.

Thanks Arushaone kwa kunipigania.

Last edited by a moderator:
Baba V tatizo na wewe umeingia kwenye foleni
tunashindwa kukuletea ndoa mpya
ila ya kwangu na Mwita Maranya bado kuna vipengele vingi vya kurekebisha.
Cheo changu kinanifanya niwe mtazamaji tu.... Nitaangalia uwezekano wa kuandaa rasimu ya katiba mpya..haiwezekani niwe kama sina meno vile
 
Last edited by a moderator:
Cheo changu kinanifanya niwe mtazamaji tu.... Nitaangalia uwezekano wa kuandaa rasimu ya katiba mpya..haiwezekani niwe kama sina meno vile

Mkuu mwenyekigoda Baba V ina maana unataka kuwa kama naibu spika dhidi ya TL? kutunga sheria baada ya adhabu kutolewa!!?
 
Last edited by a moderator:
Baba V tatizo na wewe umeingia kwenye foleni
tunashindwa kukuletea ndoa mpya
ila ya kwangu na Mwita Maranya bado kuna vipengele vingi vya kurekebisha.

Ukisikiliza maneno ya wapambe nuksi utakosa ndoa hivi hivi unaniangalia. mwenyekigoda mwenyewe anakutaka sasa unategemea nini ukienda kusajili ndoa kwake. Dawa yake ni kujilipua kwanza halafu tunakwenda kuithibitisha ndoa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom