Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,235
- 13,539
hivi kati ya maneno na vitendo ni kipi unaamini zaidi?
Matendo ndo mpango mzima.
hivi kati ya maneno na vitendo ni kipi unaamini zaidi?
Matendo ndo mpango mzima.
Matendo ndo mpango mzima.
Na wewe kwa kuvizia matukio hujambo, umetegea hiyo ban basi ukachukua point tatu fasta...!
Achana na mume wangu.
shkamoo ndugu mwenyekiti nataka kujua umelalaje leo mwenyekiti wangu
lazima nijishau bibi wewe, mjini hapa!!!!! Hivi kwanini walikuachia, siungebaki huko huko?
Nahuyu Mtwaraone atanikoma leo!!!!!!!!!
Copy: Arushaone
Welcome on board Madame B.
Funga mkanda, safari yaendelea. Ukichokozwa nipe taarifa. Ben Saanane ni mshkaji wangu sana endelea naye mimi najaribu kumtafuta wangu na soon nitampata tu.
TWENDE KAZI.
Baba V, Punguza Udaku.
Nitakusuta mda si mrefu.
Weweweee!!!
Unituweee, nani akupende.
Sitaki.