Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,988
Kumbe binamu Madame B ni bonge la pirate eenh? lakini mbona ukimtazama usoni hafananii kabisa?
Last edited by a moderator:
Kumbe binamu Madame B ni bonge la pirate eenh? lakini mbona ukimtazama usoni hafananii kabisa?
Yani kaka Mwita Maranya, mie sijui nina mkosi.
Nikionekana nimesimama na bwana wa mtu tu,basi nongwa.
Nishakuwa Tunu wa Street Girl!
yako wapi Mwita Maranya
hapa ushakuwa kaka,
daah sasa hivi sitaki tena ndoa ya mashaka
unaweza kuendelea na binamu/dada yako kwanza.
Usimtishe, hata nami nayaweza vile vile.
Come to me Mwita Maranya.
Hivi wewe unanitaka NAKUULIZA?
Mie SIKUTAKIIII...
Utawagombanisha makamanda mtaa wa ufipa hapatakalika,
Copy Ben Saanane
Nalinda ombi lako ulivyosema "TUFANYE SIRI" nimefuta kauli.... umeridhika???
acha kuangalie uso hapo hautapata ukweli angalia moyo
hapa pia imani inaniishia hilo neno la binamu nyama ya hamu
siliamini tena;
yako wapi Mwita Maranya
hapa ushakuwa kaka,
daah sasa hivi sitaki tena ndoa ya mashaka
unaweza kuendelea na binamu/dada yako kwanza.