Karibu tena mpendwa Madame B.
Achana na mume wangu.
We jishaue tu.
ikipata joto tayariKweli nimeamini "kiporo hakihitaji moto mwingi"
Shosti Madame B pole nasikia ulikuwa selo.... Matumaini umetoka salama
Welcome on board Madame B.
Funga mkanda, safari yaendelea. Ukichokozwa nipe taarifa. Ben Saanane ni mshkaji wangu sana endelea naye mimi najaribu kumtafuta wangu na soon nitampata tu.
TWENDE KAZI.
unataka umpate marangapi na wewe si umuambie tu!
Mkuu nataka uendelee na ule mkakati wetu. Unajua ni hatari sana kwa mtoto wa kike kila siku usiku almanusura anaanguka kitandani! Ile nafasi pale ile..!
Afu eti Lady doctor hivi ulinikataa au ulinikubali?