Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,169
- 3,358
Last edited by a moderator:
Nimetoka kwenye tumbo la mama.
Nimefundwa nikafundika.
Plus na kitchen party ndo kabsaaa...
Langu jicho, mkono na shavu langu.
Kumbe ndiyo maana PakaJimmy anapiga kelele sana, kumbe amekumbuka joto la kumbatio!!!
ndio! Najua kuwa, ulitoka kwenye tumbo la MAMBA
ukapewa kifungo cha ban UKAFUNGIKA
Plus na kitchen party ndiyo kabisaa unaunguza mwamke wewe
pole ziwaendee waume zako wote na pongezi ziwaendee wachumba zangu wote kwakuwa na lady wa ukwee..!
Hahahahahahaaa....... Hivi bado tunapimana mbavu tu? lol!
Madame B siyo kukudisi ilikuwa ni visifa kibao kibao kwako
si unajua tena vyungu vikikaa pamoja ni lazima kuwa na msuguano fulani
lakini all in all hakuna mbaya, mimi penda wewe tu bhana.
Kauli zako siku hizi zimekuwa za utata utata tangu umetoka jela sijui kwa nini, wamekufundisha Uliberali huko nini?? sikuelewi ujueHata mimi penda wewe kuliko Ben Saanane.