TCRA: Vyombo vya habari vinavyochanganya lugha kuchukuliwa hatua, ‘kuna haja ya kukiita kipindi Goodmorning?’

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Meneja huduma za Utangazaji, TCRA, Mhandisi Andrew Kisaka amesema kuwa tabia ya vyombo vya habari kuruhusu watangazaji kuchanganya lugha kwenye vipindi vyao ni kosa kisheria na watachukuliwa hatua.



📹 TheChanzo
Written by Mjanja M1 ✍️
 
Tanzania lugha rasmi ni English na Swahili. Hana hana hoja
Huwa nashangazwa sana na hiki kitu, hivi ni kwamba watu wengi hawajui kuwa kiingereza ni lugha rasmi kabisa ya Tanzania..

Au TCRA imejiwekea lengo la mapato na wanaona watafute njia ya kulikamilisha kupitia faini.

Kwanza sekta ya mawasiliano imejaa malalamiko haswa kwenye biashara ya kuuza ujuzi mtandaoni, kwa nini hawa TCRA wasiongee na BOT kuhakikisha vijana wanajiajiri na kutajirika online bila kuwekewa vikwazo kwenye kupokea malipo yao kutoka kwa clients wa nje..

Hata hivyo, who am I, wacha niwaache wafu wazikane
 
Meneja huduma za Utangazaji, TCRA, Mhandisi Andrew Kisaka amesema kuwa tabia ya vyombo vya habari kuruhusu watangazaji kuchanganya lugha kwenye vipindi vyao ni kosa kisheria na watachukuliwa hatua.

View attachment 2904008

📹 TheChanzo
Written by Mjanja M1 ✍️
Mbona hata yeye amechanganya? Red light ni kiswahili?
 
Meneja huduma za Utangazaji, TCRA, Mhandisi Andrew Kisaka amesema kuwa tabia ya vyombo vya habari kuruhusu watangazaji kuchanganya lugha kwenye vipindi vyao ni kosa kisheria na watachukuliwa hatua.

View attachment 2904008

📹 TheChanzo
Written by Mjanja M1 ✍️
nasema you are stupid TCRA! kwahiyo wakiite ASUBUHI NJEMA? Muwaachie watu watoe manEno ambyo wao wataona yanawavuta watazamaji. Good Morning sounds convincing ! sawa unaweza kusema Asubuhi NJema , lakini wabongo tunahitaji lugha ya malkia, rich in vocabulary!
 
Hivi wanatoa leseni ya kuendesha chombo cha habari kwa kilugha cha kikabila hapa Tanzania.

Kuna baadhi ya channels za kenya na Uganda unakuta ni kilugha tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lugha ni nywila muhimu katika maendeleo na wapo sahihi, ila Kabla hawajaanza kufungia hivyo vyombo wao pia wabadilishe hiyo TCRA waiweke kwenye kiswahili...
Tanzania tujivunie kiswahili, mataifa yote yaliyoendelea yanatumia Lugha Yao na ni Moja tu, tujivunie kiswahili
Afrika nzima, Tanzania pekee tumepewa hii tunu ya Lugha ya kiswahili, hivyo ni kazı yetu kutumia Lugha hii kwenye maendeleo!
Wako katika taaluma ya Kiswahili NgoniBoy

Sent from my F-02L using JamiiForums mobile app
 
Meneja huduma za Utangazaji, TCRA, Mhandisi Andrew Kisaka amesema kuwa tabia ya vyombo vya habari kuruhusu watangazaji kuchanganya lugha kwenye vipindi vyao ni kosa kisheria na watachukuliwa hatua.

View attachment 2904008

📹 TheChanzo
Written by Mjanja M1 ✍️
Tanzania sasa inageuzwa kuwa shule ya msingi inayoendeshwa na mkuu wa shule akisaidiwa na madada na makaka. Yaani watu wazima hawakuona matatizo yote ya kuyatungia sheria wanatunga sheria ya umetamka nini! Naye hakimu anakufunga eti ulichanganya lugha kwenye redio mke wangu akaunguza nyama ya kuku!
 
Back
Top Bottom