Meneja wa Huduma za Utangazaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Andrew Kisaka amesema kauli yake imepotoshwa kuhusu wasomaji wa Magazeti kwenye Redio akisema hakumaanisha usomaji wa mbwembwe bali wasomaji kusoma na kuingia ndani.
Akizungumza leo asubuhi na Kipindi cha Good Morning cha Wasafi Fm sehemu ya Magazeti, Bw. Kisaka amesema hakuna kanuni inayokataza kusoma kwa mbwembwe bali kanuni inataka watangazaji wasome vichwa tu vya habari za sio kuingia kwa ndani na kwamba kauli yake imepotoshwa.
Credit - Kitenge
Akizungumza leo asubuhi na Kipindi cha Good Morning cha Wasafi Fm sehemu ya Magazeti, Bw. Kisaka amesema hakuna kanuni inayokataza kusoma kwa mbwembwe bali kanuni inataka watangazaji wasome vichwa tu vya habari za sio kuingia kwa ndani na kwamba kauli yake imepotoshwa.
Credit - Kitenge