Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Hadi waigizaji na wanamziki wanaajiriwa na kulipwa fedha nzuri na wamiliki wa vyombo vya habari ni kwa sababu waliosomea hii kazi wameacha taaluma na kuishi kwa kuambiwa na kufikirishwa.
Leo hii waandishi wa habari wanalipwa elfu 30 hadi 50 na hii ni kwa mujibu wa RC Mara.Kinyume na hapo hawaji kwenye press iliyoitisha. Jiulize leo kama wamekuwa cheap to this amount wanapeleka wapi Tqsnia?
Tumeshuhudia wengi wao hadi wanastaafu hawana nyumba na watoto wao bado wanasoma maisha duni. Haya yote yametokana na ukweli kwamba waandishi na wahariri wa habari Tanzania hakuna. Mfano kwa sasa mtangazaji mwenye uthubutu wa kuhoji bila biasness amebaki mmoja yupo star TV medani za siasa. Waliobaki wote hana uwezo wa kuhoji au kuvuna jambo tangible kwa mhojiwa.
Je, hatuoni kwamba siku za usoni tutaajiri watangazaji kutoka Kenya? Hatuoni kwamba fursa za kutoa watu kwenda mashirika makubwa ya utangazaji Duniani zitaondoka na kuchukuliwa na Mataifa jirani?
Tasnia imebaki na vipindi vya michezo na kuripoti yale tu watawala wanayosema.....not good oohooooo
Mwandishi kwenye habari za kimataifa anacopy na kupaste kilichoripotiwa na vyombo vya nje....hakuna uchambuzi binafsi.
Leo hii waandishi wa habari wanalipwa elfu 30 hadi 50 na hii ni kwa mujibu wa RC Mara.Kinyume na hapo hawaji kwenye press iliyoitisha. Jiulize leo kama wamekuwa cheap to this amount wanapeleka wapi Tqsnia?
Tumeshuhudia wengi wao hadi wanastaafu hawana nyumba na watoto wao bado wanasoma maisha duni. Haya yote yametokana na ukweli kwamba waandishi na wahariri wa habari Tanzania hakuna. Mfano kwa sasa mtangazaji mwenye uthubutu wa kuhoji bila biasness amebaki mmoja yupo star TV medani za siasa. Waliobaki wote hana uwezo wa kuhoji au kuvuna jambo tangible kwa mhojiwa.
Je, hatuoni kwamba siku za usoni tutaajiri watangazaji kutoka Kenya? Hatuoni kwamba fursa za kutoa watu kwenda mashirika makubwa ya utangazaji Duniani zitaondoka na kuchukuliwa na Mataifa jirani?
Tasnia imebaki na vipindi vya michezo na kuripoti yale tu watawala wanayosema.....not good oohooooo
Mwandishi kwenye habari za kimataifa anacopy na kupaste kilichoripotiwa na vyombo vya nje....hakuna uchambuzi binafsi.