GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,118
Meneja wa Huduma za Utangazaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Andrew Kisaka, amesema Mamlaka hiyo itawachukulia hatua baadhi ya Watangazaji wanaosoma magazeti kwa mbwembwe huku wakiongezea baadhi ya vitu visivyotakiwa wakati wa usomaji.
Chanzo: millardayo
GENTAMYCINE nawapongeza sana kwa hatua hii japo pia mmechelewa sana kuitoa kutokana na Upuuzi huu mkubwa uliokuwepo.
Hata hivyo kuonyesha kuwa TCRA hamheshimiki na Mliowaonya ( yaani ni Nyoka wa Kibisa ) ni kwamba Asubuhi hii hii katika Kipindi cha Joto la Asubuhi cha EFM Radio Mtangazaji mwenye Upuuzi huu mlioukataza Masanja Mkandamizaji ( Emanuel Mgaya ) kaendelea na Utaratibu huu japo Kiuwoga Uwoga.
Chanzo: millardayo
GENTAMYCINE nawapongeza sana kwa hatua hii japo pia mmechelewa sana kuitoa kutokana na Upuuzi huu mkubwa uliokuwepo.
Hata hivyo kuonyesha kuwa TCRA hamheshimiki na Mliowaonya ( yaani ni Nyoka wa Kibisa ) ni kwamba Asubuhi hii hii katika Kipindi cha Joto la Asubuhi cha EFM Radio Mtangazaji mwenye Upuuzi huu mlioukataza Masanja Mkandamizaji ( Emanuel Mgaya ) kaendelea na Utaratibu huu japo Kiuwoga Uwoga.