Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,812
- 156,946
Wana hali mbaya sanaDaaah wamefika huko mbona sarakasi nyingi hivyo mwaka huu
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Wana hali mbaya sanaDaaah wamefika huko mbona sarakasi nyingi hivyo mwaka huu
shenzi kabisa,halafu hawaruhusu tujibuPambafu zao
Unataka watu ndo waende wakushtakie? Mtumeni lissu aende kama jambo dogo kama hilo nalo mnashindwa kufungua file, eti nyie ndo mnategemewa kuingia barabarani.Huu mchezo hawajaanza Leo, Vodacom na Airtel ndo zao. Wamempa access JPM ya database za wateja wao.
Natamani watu waende mahakamani kwa hili ili haya makampuni yalipishwe fidia ya kutosha.
Natamani mnaopinga wote muhame nchi muende mkaishi Congo au muende Rwanda mkaishi huko kwa muda fulani.Huko ni kuingilia uhuru wa watumiaji wa simu, wanajua kabisa wateja wao watakuwa na itikadi tofauti kwanini watume meseji za kumpigia kampeni mgombea wa CCM?
Kuna wajinga watasema ni haki yao kwasababu CCM wamelipia, watambue CCM wamewalipa hao wenye makampuni ya simu hawajawalipa watumiaji, haya mambo ya kujipendekeza kwa CCM yakome, wanastahili kushtakiwa.
Ukitumiwa utafanya nini!!?Hili jambo ameniambia wife leo yeye ametumiwa tena limesomeka jina ambalo si lake.
Nikajisemea ole wao wanitumie msg kama hizi. Kwanza ni usumbufu na kutukosea adabu, hivi inakuwaje wanadhani ya kuwa kila mtu ni mpiga kura ? Sisi wengine tunakuwa na vitambulisho vya kupiga kura kuepuka usumbufu tu katika harakati zetu.
Nasubiri wanitumie kisha utasikia au kuona nitakacho wafanya.Ukitumiwa utafanya nini!!?
Mbwela tu hakuna lolote subiri th 28 dawa yenu iwaingie tena 5yrs kunako.Nasubiri wanitumie kisha utasikia au kuona nitakacho wafanya.
Sijawahi kupiga kura mzee, sababu nikipiga kura napata madhambi, mimi naomba amani ili mambo yangu yaende. Ila ujinga sitaki.Mbwela tu hakuna lolote subiri th 28 dawa yenu iwaingie tena 5yrs kunako.
Hatuwezi tukawapa wahuni namba za viongozi wetu.Tupeni namba za Magufuli, Polepole na Bashiru na sisi tuwatumie ujumbe wetu. Wametunyanyasa sana
Yeah ni sehemu ya promo hiyo. Ni sawa na Meseji za kubeti.
Hatuwezi tukawapa wahuni namba za viongozi wetu.
TrueHuwa mnasoma Terms & Conditions za hiyo mitandao kabla ya kujiunga? Vipi privacy policy huwa mnasoma pia? Kila kitu wameandika kwenye zile karatasi za simcard na kwenye websites zao. Kitendo cha kununua simcard zao na ku-activate maana yake ume-AGREE terms na conditions zao so umekubaliana na meseji zozote za promo watakazokutumia.
NB: Kabla haujaenda kuwashtaki soma vigezo na masharti ya mtandao husika usije ukageuziwa kibao ukafungwa wewe badala ya kampuni.
Kwani sms hiyo ya kipuuzi ndiyo kura? Ccm wanatapatapa tu lakini kifo chao kipo dhahiriHa ha ha ...Magufuli ni kama maji usipoyanywa utayaoga....
Mkuu haiko hivyo, taarifa zako zilizoko kampuni za simu ni siri ya wewe na kampuni.Taarifa hizo zikitolewa kwa mtu mwingine bila ridhaa yako ni kosa.Kampuni itatakiwa kutoa taarifa hizo serikali kwa special purpose.kilichofanyika ni makosa.Kitendo cha makampuni ya simu kutoa access ya database za wateja wao kwa wagombea urais au vyama vya siasa ni kosa.Nakuhakikishia kama customers wakalalamika kwa wingi wao na kufungua kesi ni shidaHuwa mnasoma Terms & Conditions za hiyo mitandao kabla ya kujiunga? Vipi privacy policy huwa mnasoma pia? Kila kitu wameandika kwenye zile karatasi za simcard na kwenye websites zao. Kitendo cha kununua simcard zao na ku-activate maana yake ume-AGREE terms na conditions zao so umekubaliana na meseji zozote za promo watakazokutumia.
NB: Kabla haujaenda kuwashtaki soma vigezo na masharti ya mtandao husika usije ukageuziwa kibao ukafungwa wewe badala ya kampuni.
Sababu muhuni bado anayo haki yakupiga kura.Kama sisi ni Wahuni ni kwa nini mlitafuta Namba za wahuni na kuwaomba Kura ?
Haahaa mkuu hujui.bila database kutolewe hizo SMS zisingeingia kwa wateja kamwe.watalaamu wa it watakubaliana namiTulizeni munkar, leo mmepokea kutoka CCM ndio mnataka kwenda mahakamani afu wengine wanasema eti kapewa database
acheni utani, hizi meseji za matangazo zipo nyingi sana tu tunatumiwa za makampuni mbalimbali kila uchwao wakitusumbua tu.