The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,117
- 7,817
Hata Mimi nimemuona lakini nahis pale ni typing error tuNimekutana na mtu kachaguliwa kufundisha sekondari masoma ya basic mathematics history na kiswahili...
Nimejiuliza huyu jamaa atakuwa amesoma kombi gani
Mkuu Tuendelee kujifukiza tuuHata Mimi nimemuona lakini nahis pale ni typing error tu
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Nchi hii ina ajira? nyie endeleeni kutapeliwa tuKusema ukweli hizi ajira ni MAGUMASHI, hazina uhalisia wowote. Jina moja linajirudia mara nyngi na kituo ni kilekile.
Kuna wengine wamemaliza fom4 mwaka 2019 eti na wao wameajiriwa.
Swali: Kwanini hawajaandika vyuo walivyosomea? Kwanini hawajaweka serial number?
MUNGU TUNUSURU
"Everything happen for a reason" nilivoona hakuna serial number nilijiuliza sana(kwamba excel ya hao jamaa ilishindwa kabisa kuweka number jibu ni hapana haikushindwa then why?). Nikajipa kaz ya kuhesabu idadi kwa baadhi ya pages,wastani kila page ni kama watu 40,document ina page 196Kusema ukweli hizi ajira ni MAGUMASHI, hazina uhalisia wowote. Jina moja linajirudia mara nyngi na kituo ni kilekile.
Kuna wengine wamemaliza fom4 mwaka 2019 eti na wao wameajiriwa.
Swali: Kwanini hawajaandika vyuo walivyosomea? Kwanini hawajaweka serial number?
MUNGU TUNUSURU
Uyo mwamba atakua alisomea 007, kiufupi uyo ni james bondNimekutana na mtu kachaguliwa kufundisha sekondari masoma ya basic mathematics history na kiswahili...
Nimejiuliza huyu jamaa atakuwa amesoma kombi gani
Nawaangalia Halafu Nasema Hii BhaghoshaaKupanga ni kuchagua
Kwel mwamba james bond huyu...Uyo mwamba atakua alisomea 007, kiufupi uyo ni james bond
Mbona haifiki mara hizo ulizoandika lengo ni nini hasa?Mwl Abdallah leonard shonde aibuka kidedea Kwa Kuorodheshwa Mara 3233,katika ajira Mpya Ni mwalimu wa kwanza kupendekezwa zaidi na Tamisemi Tangu Tanzania ipate Uhuru mwaka 1961
Nmeinanga tu japo ni makosa ya mtu wa ms-exl
Convert PDF to excel weka serial number utapata 8195 ukitoa 195 ya Abdalah = 8000"Everything happen for a reason" nilivoona hakuna serial number nilijiuliza sana(kwamba excel ya hao jamaa ilishindwa kabisa kuweka number jibu ni hapana haikushindwa then why?). Nikajipa kaz ya kuhesabu idadi kwa baadhi ya pages,wastani kila page ni kama watu 40,document ina page 196...
Kabisa mkuu, hiyo inaweza kutumika kama mbinu ya kuchomeka watu wao.Mkuu,
Unamacho na uko makini sana; ni kweli hilo jina limejirudia tena kila ukurasa mstari wa kwanza jina hilo ndio linaanza...
Aichafue serikali kwani anairushia matope?Pascal Mayalla kwavile wewe wayajua mambo yakina chadema na viti maalum je huu uzi una ukweli wowote au wantaka kuchafua serikali