Tatizo la kuwashwa mwili mara kwa mara- Fahamu chanzo, pata ushauri na tiba ya tatizo hili

tafuta dawa ya allergy kama cetrizine,tumia uangalie,halafu kama una aina flani ya chakula umeaza kutumia hebu sitisha uchek matokeo.
 
tafuta dawa ya allergy kama cetrizine,tumia uangalie,halafu kama una aina flani ya chakula umeaza kutumia hebu sitisha uchek matokeo.

Asante kwa ushauri lakin upande wa vyakula ni ngumu kufahamu kwa sababu ninakula vyakula karibu vyote sasa hapo kujua kipi ni kipi kazi kweli kweli lakini nitajaribu dawa hiyo.
 
Pole sana mkuu,jaribu kuendelea na zoezi la kupima kwa kwenda hospitali mbalimbali!!!
 
unakula kitimoto??? if yes acha kuila i had the same problem for 3yrs nijaja gundua kitimito ndo tatizo.
 
jamani nimekua naumwa ugonjwa ambao umenitesa kwa muda sana, nimekua nawashwa sana sehemu za makalio na mapaja, hata sehemu za mwili nyingine. pia hii hali ipo kwa maifu wangu. nilitumia dawa ya scabies (Scaboma) lakin hakuna hauweni... sijui kama ni ugonjwa wa zinaa au vip.... msaada jamani, nifanyeje?
 
jamani nimekua naumwa ugonjwa ambao umenitesa kwa muda sana, nimekua nawashwa sana sehemu za makalio na mapaja, hata sehemu za mwili nyingine. pia hii hali ipo kwa maifu wangu. nilitumia dawa ya scabies (Scaboma) lakin hakuna hauweni... sijui kama ni ugonjwa wa zinaa au vip.... msaada jamani, nifanyeje?

Pole sana mkuu kipusy, nadhani ni vyema ukaenda kumwona dakatari wa ngozi fika muhimbili ama kuna mwingine alikuwa anafanya private clinic yake pale Heart Institute Kinondoni, kama upo kaskazini, Moshi kcmc kuna idara ya ngozi waweza kutibiwa, ninapata wasiwasi kama hiyo ni scabies kwani scabies kwa sababu haswa ya sehemu zilizoathiriwa kuwa kwenye makalio na mapaja pekee.
 
Last edited by a moderator:
Ooh lord, scabies?! Pole sana. Mnahitaji kumuona dr wa ngozi, wote wawili wewe na mkeo. Lakini mnapopata matibabu, muanze kwa pamoja. Msisahau kufanya usafi wa haja nyumbani kwenu, hasa kwenye matandiko, godoro na nguo zenu. Fua nguo kwa maji ya moto, piga pasi ndani na nje.
Mara ya mwisho ulibadili godoro lini? Labda ujinunulie godoro jipya na la zamani ulianike. Kama kitanda chako ni cha mbao nacho ukidismantle na kukianika. Ikiwezekana ufanye na fumigation nyumbani kwenu. Haya yote ufanye baada ya kyanza matibabu rasmi. Pole sana
 
Ikiwa scabies unatakiwa utibu familia yako yote, pia angalia mikono. Vinginevyo jaribu kudilute teatree oil katika lotion au sabuni ya kuogea. Unaweza tumia pia majani ya muarobaini yasage na paka sehemu unazosumbuliwa subiri muda kabla ya kwenda kuoga.
 
Ooh lord, scabies?! Pole sana. Mnahitaji kumuona dr wa ngozi, wote wawili wewe na mkeo. Lakini mnapopata matibabu, muanze kwa pamoja. Msisahau kufanya usafi wa haja nyumbani kwenu, hasa kwenye matandiko, godoro na nguo zenu. Fua nguo kwa maji ya moto, piga pasi ndani na nje.
Mara ya mwisho ulibadili godoro lini? Labda ujinunulie godoro jipya na la zamani ulianike. Kama kitanda chako ni cha mbao nacho ukidismantle na kukianika. Ikiwezekana ufanye na fumigation nyumbani kwenu. Haya yote ufanye baada ya kyanza matibabu rasmi. Pole sana

sijawahi badili godoro, nashukuru kwa ushauri
 
Ikiwa scabies unatakiwa utibu familia yako yote, pia angalia mikono. Vinginevyo jaribu kudilute teatree oil katika lotion au sabuni ya kuogea. Unaweza tumia pia majani ya muarobaini yasage na paka sehemu unazosumbuliwa subiri muda kabla ya kwenda kuoga.

duh, lakin kama scabies inapona baada ya muda gan?
 
Ikiwa scabies unatakiwa utibu familia yako yote, pia angalia mikono. Vinginevyo jaribu kudilute teatree oil katika lotion au sabuni ya kuogea. Unaweza tumia pia majani ya muarobaini yasage na paka sehemu unazosumbuliwa subiri muda kabla ya kwenda kuoga.


Kijini asante kwa ushauri wako mzuri, ila hapo kwenye red sijakuelewa
 
Wanajamvi nisaidien nitumie nini kwani mara nimalizapo kuoga mwili wangu wote huniwasha sana hunichukua zaid ya dakika 15 kujikuna,tatizo hili hunipata zaidi wakati wa asubuhi!jaman nishaurin napata taabu sn!.
 
Tatizo bacteria wanaoishi kwenye ngozi. Nina uhakika pia ukitokwa na jasho tatizo hilo linajitokeza pia. Tafuta prickly heat powder au tumia antibacterial soap. Msimu wa joto mwasho unaongezeka! Pole.
 
Tatizo bacteria wanaoishi kwenye ngozi. Nina uhakika pia ukitokwa na jasho tatizo hilo linajitokeza pia. Tafuta prickly heat powder au tumia antibacterial soap. Msimu wa joto mwasho unaongezeka! Pole.

Asante sana kaka,ngoja nipite phamacy nitafute hizo sabun,hali si nzur nakuosa aman kabisa inapofika wakati wa kuoga!
 
Na mimi kuna mtu namfahamu anatatizo hili linamsumbua sana: asante kwa taarifa
 
Back
Top Bottom