Nawasalimu kwa upendo wa dhati.
Nimekuwa nikipata changamoto kwenye mwili wangu hasa KUVIMBA kwa mwili NGOZI kuwashwa kupata viupele na kuacha alama pale ninapojikuna.
Tatizo hili lilianza taratibu na limekuwa likikua siku hadi siku, ilianza nikila matunda hasa matikiti mwili unaniwasha Sana na nikijikuna napata viupele ambavyo baada ya kipindi Cha muda mfupi upotea. Pia ikaja nikinywa soda ya Pepsi au kutumia dawa za antibiotics mwili unavimba kwenye baadhi ya Maeneo nakuwasha Sana.
Ningependa kujua tatizo hili linasababishwa na Nini na Nini tiba yake kwani nimefanya kipimo Cha blood culture na fool blood picture lakini haikuonekana tatizo lolote.
Karibu
Nimekuwa nikipata changamoto kwenye mwili wangu hasa KUVIMBA kwa mwili NGOZI kuwashwa kupata viupele na kuacha alama pale ninapojikuna.
Tatizo hili lilianza taratibu na limekuwa likikua siku hadi siku, ilianza nikila matunda hasa matikiti mwili unaniwasha Sana na nikijikuna napata viupele ambavyo baada ya kipindi Cha muda mfupi upotea. Pia ikaja nikinywa soda ya Pepsi au kutumia dawa za antibiotics mwili unavimba kwenye baadhi ya Maeneo nakuwasha Sana.
Ningependa kujua tatizo hili linasababishwa na Nini na Nini tiba yake kwani nimefanya kipimo Cha blood culture na fool blood picture lakini haikuonekana tatizo lolote.
Karibu