Magu kwenye c19 alikuwa shujaa... Hakuwa tayari kuwAuZa raia kwa vipande vya fedha... Alikuwa tayar kusemwa vibaya lkn wananchi wake tufanye kazi.. tujenge nchi... Leo hii mtu yule yule aliesema njia za awali zilikuwa sahihi... Leo atuambia makorokocho... Na ni Dr Kabisa kitaaluma... Unaniuliza x2 hv pesa ni Haram au madaraka ndo yanawabadli akili watu??

Wanataka kulazimisha kuwepo kwa Corona... Wanaham nayo nazani...

Kwani uongo corona haipo! Au kwakua statistics hazitolewi ndio maana hamuamini, au hakuna mtu wa karibu yenu aliepoteza maisha!



🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇹🇿🔥🔥
 
Jiandae kwa lokudawuni wewe mzee wa korona. Hapo akaunti yako naimani inasoma figa za kutosha.

Account yangu haina kitu lakini maisha kwanza.

Hatuwezi sote kuukumbatia ujinga. Kwani shule tulikwenda kutembea?

Habari hii imfikie pia yule bwana msukuma.
Magu kwenye c19 alikuwa shujaa... Hakuwa tayari kuwAuZa raia kwa vipande vya fedha... Alikuwa tayar kusemwa vibaya lkn wananchi wake tufanye kazi.. tujenge nchi... Leo hii mtu yule yule aliesema njia za awali zilikuwa sahihi... Leo atuambia makorokocho... Na ni Dr Kabisa kitaaluma... Unaniuliza x2 hv pesa ni Haram au madaraka ndo yanawabadli akili watu??

Wanataka kulazimisha kuwepo kwa Corona... Wanaham nayo nazani...

Hapana kusahau wapo wengi hawakukubaliana na njia hizo za kienyeji uliokubaliana nazo wewe.

Tutawasikiliza wataalamu wa afya kwenye masuala ya afya.

Taaluma yako tafadhali kama hutajali.
 
Mbona mara ya kwanza walikuwa hawavai hizo barakoa. Au umuhimu wa barakoa umeonekana kipindi hiki watu wanaishi na ugonjwa kama wanavyoishi na mafua.


Na huyo waziri alikuwa kiongozi wa kushadadia mizizi.

Kupata revelations mpya at a time ni kosa?

Usisahau pia mwenye lake jambo sasa hayupo. Alikuwa anatuelekeza kubaya - siyo siri.
 
Mnhhhh

Vaeni barakoa sio kujilinda tu iwe pia responsibility ya kila mtu kumlinda mwenzake, ukivaa barakoa asubuhi ukienda kazini, ukirudi ukaitupa tayari kuna chain ya maambukizi umeikata mfano familia yako mwenyewe utakua umeikinga na mizunguko uliyopitia..hivyo ni wajibu wetu kujilinda sisi na familia zetu !

From what I can gather chanjo haimaanishi hautaambukizwa, unaweza ukaambukizwa ila ukiwa na chanjo mwili unakua na capability ya ku fight off infection na symptoms zinakua chache ...

VAENI BARAKOA, MUWE NA CHANJO.... it cost you nothing,
 
Account yangu haina kitu lakini maisha kwanza.

Hatuwezi sote kuukumbatia ujinga. Kwani shule tulikwenda kutembea?

Habari hii imfikie pia yule bwana msukuma.


Hapana kusahau wapo wengi hawakukubaliana na njia hizo za kienyeji uliokubaliana nazo wewe.

Tutawasikiliza wataalamu wa afya kwenye masuala ya afya.

Taaluma yako tafadhali kama hutajali.
Mkuu hiz za Sasa zinauwiano upi na za zamani? Je huo utaalam ni upi?? Kuvaa barakoa?? Au lockdown?? Mkuu hoja huwa inapingwa kwa hoja... Hzo mbinu hazijazaa matunda wamejifungia mwisho wa siku wametoka...

Mkuu ukwel wamepiga hesabu za kugawana hzo b574usd... I'll watu wa nchi hii waendelee kuwa maskin na tegemezi... Ila mkuu Jambo moj halisi MUNGU HADHIHAKIWI..
 
Kupata revelations mpya at a time ni kosa?

Usisahau pia mwenye lake jambo sasa hayupo. Alikuwa anatuelekeza kubaya - siyo siri.
Mkuu wapi kubaya?? Kwa hyo sa iv tunaenda kuzuri?? Yaa huenda upo sahihi.. maana lockdown ikitokea utaletewa kila kitu... Ila huku tuliko... Lockdown sijui barakoa si insu ya msingi... Jambo la maana mtu apate mkate wake kila sik... Na ndvyo maisha yanapaswa kuwa mkuu...
 
Mkuu hiz za Sasa zinauwiano upi na za zamani? Je huo utaalam ni upi?? Kuvaa barakoa?? Au lockdown?? Mkuu hoja huwa inapingwa kwa hoja... Hzo mbinu hazijazaa matunda wamejifungia mwisho wa siku wametoka...

Mkuu ukwel wamepiga hesabu za kugawana hzo b574usd... I'll watu wa nchi hii waendelee kuwa maskin na tegemezi... Ila mkuu Jambo moj halisi MUNGU HADHIHAKIWI..

Mkuu India barakoa, social distancing na chanjo hivi sasa zinatoa majibu chanya.

Kote ambako dhahama la ugonjwa limedhibitiwa ikiwamo:

Uingereza, Marekani, Italy, Spain, Brazil nk imekuwa hivyo hivyo.

Hoja hujibiwa kwa hoja. Wapi nyungu imethibitika kufanya kazi? Kipindi kilichopita nani asiyeyajua majina mazito mazito yaliyotutoka kimaskhara?

Huu ugonjwa ni sayansi tuwaache wataalamu wa afya kutushauri. Walimu wajikite kwenye ualimu, mafundi magari, wahandisi, wanasiasa nk wajikite kwao.

Wewe huoni hivyo?
 
Mkuu wapi kubaya?? Kwa hyo sa iv tunaenda kuzuri?? Yaa huenda upo sahihi.. maana lockdown ikitokea utaletewa kila kitu... Ila huku tuliko... Lockdown sijui barakoa si insu ya msingi... Jambo la maana mtu apate mkate wake kila sik... Na ndvyo maisha yanapaswa kuwa mkuu...

Mkuu tutenganishe mambo hapa. Tumepoteza watu wazito sana hapa ambao kwa kuzingatia tahadhari tu wangali kuwa hai.

Maisha kwanza. Tunashauriwa:

1. Social distancing
2. Barakoa
3. Chanjo

Kila inapowezekana.

Tatizo liko wapi hapo kuwasikiliza wataalamu wa afya?

Wewe ni mtalaamu wa afya?
 
Mkuu hiv c19 ipo au haipo?? Na Kama ipo ipo wapi?? Au wanalazimisha iwepo?? Wanaitaka kwa kuwa wao wanachakula Cha kutosha.. wanamaji.. wanamahali pakulala pazr.. wangekuwa wanaishi huku kwetu hata hayo maneno wangeona aibu kuyatamka hadharani...

Kunavitu vikitokea Wala hutahitaji matangazo... Hv kwel jamii yetu inahitaji barakoa?? Au inahitaji elim?? Kwa nn tangu ugonjwa umeingia hatujawahi kuwa na hz mambo?? Au wao somo la takwimu na simultaneous equation hawakusoma?? Hawakuwepo siku hzo wakati topic zinafundishwa??
korona ipo kwenye mataifa jirani kenya n.k.
Bahati mbaya kirusi hakihitaji passport wala viza ndio maana tuna himizwa kuchukua tahadhari za kujikinga.

Kinga ni bora kiliko tiba.
 
Haswaaaaaaaaaaaa Tena tunadunda na ulinzi wa Mungu... Na ndo maana were safely... Hata nawe pia Kama upo tz u are safe...

Tangu lini hii nchi imekuwa na itikadi za kidini? Kiasi ulinzi wake akakabidhiwa Mungu? Ondoeni na kesho na polisi kabisa Mungu ataleta malaika.

Kwanini mnataka kupoka dhamana za wataalamu wa afya?

Ushauri wenu ni kwenye Corona tu? Vipi magonjwa mengine kama kweli mna hoja?
 
mjanja ni wewe unayejua kuna corona halafu hata kupeleka tako lako likatiwe chanjo unaona uvivu.

unafiki ndio unafanya mpaka akili zinawapooza.
Mi nimechanjwa kabla hata mungu wako hajachukuliwa na zirali

Akili zako za makalioni zinakutuma wote tuko hapo Usukumani tunahiji kaburi la mwendazake...
 
"Pamoja na hatua mbalimbali ambazo Tanzania imeanza kuchukua, Shirika la Fedha Duniani (IMF) limethibitisha kwamba litaipatia Tanzania mkopo wa dharura wa takribani dola milioni 574, itakapokamilisha mambo muhimu, ikiwemo utoaji wa takwimu kuhusu maambukizi ya virusi vya corona."

Hili ndio lengo hasa mengine mbwembwe tu
Issue ni Shekeli
 
Mkuu tutenganishe mambo hapa. Tumepoteza watu wazito sana hapa ambao kwa kuzingatia tahadhari tu wangapi kuwa hai.

Maisha kwanza. Tunashauriwa:

1. Social distancing
2. Barakoa
3. Chanjo

Kila inapowezekana.

Tatizo liko wapi hapo kuwasikiliza wataalamu bwana afya?

Wewe ni mtalaamu wa afya?
Mkuu hzo unazozisema application yake imekuwa 0+... Na ikumbukwe kuwa wakati ugonjwa unaanza Kinga nzr kabisa ambayo ilipendekezwa ni head immunity... Ila wajaja wakajua hawatapata pesa wakawaingza Chaka binadamu... Rais aliekuwepo(pamoja na mapungufu yake) aliipatia njia akaiweka kuwa hvi tulivyo matokeo yake ungonjwa kwetu si tatzo Tena.. hao wakubwa wanajua... Ila Sasa kale ka b574...
 
Back
Top Bottom