Tanzania pekee ndo hajaalikwa kwenye utiaji saini wa amani Kati ya DRC na Rwanda huko USA

Tanzania pekee ndo hajaalikwa kwenye utiaji saini wa amani Kati ya DRC na Rwanda huko USA

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,773
Reaction score
35,992
Rais Donald Trump amealika nchi zote za maziwa makuu kwenye tukio la kutia sain makunaliano ya amani baina ya DRC na Rwanda maarufu kama "Washington Accord"

Kilichonishtua zaidi Tanzania haikualikwa licha ya kuwa na mchango mkubwa wa kupigania amani ya Mashabiki mwa Congo

Wanajeshi wetu wengi wamefia Congo, ina maana damu zao hazijaacha alama yoyote.
Walichokipigania hakikumbukwi.

Pole sana JWTZ, mmeponzwa na mnaemlinda, damu na maisha yenu mmemwaga bure kule Goma na Kivu

Uganda alihudhuria makamu wa Rais Jessica Alupoo
Rwanda alihudhuria Rais Paul Kagame.
Kenya alikuwapa Rais Ruto
Burundi alikuwapo Rais Ndayishimye
DRC alikuwapa Rais Tshekedi

Hii ina maana Gani kidiplomasia?
Screenshot_20251205-091328.png
Screenshot_20251205-091519.png
 
Rais Donald Trump amealika nchi zote za maziwa makuu kwenye tukio la kutia sain makunaliano ya amani baina ya DRC na Rwanda maarufu kama "Washington Accord"

Kilichonishtua zaidi Tanzania haikualikwa picha ya kuwa na mchango mkubwa wa kupigania amani ya Mashabiki mwa Congo

Uganda alihudhuria makamu wa Rais Jessica Alupoo
Rwanda alihudhuria Rais Paul Kagame.
Kenya alikuwapa Rais Ruto
Burundi alikuwapo Rais Ndayishimye
DRC alikuwapa Rais Tshekedi

Hii ina maana Gani kidiplomasia?
View attachment 3511442View attachment 3511443
Kwa viongozi gani wanaotambulika?
 
Tumeishaonekana hatujielewi:Sisi tulikua mfano wa kuigwa, makosa madogo kidogo yana -sound issue kubwa. Tulikua na nafasi ya kujenga uchumi kupitia sifa ya kuwa nchi stable, yenye amani, location nzuri, mikutano yote mikubwa ingalikua inakuja hapa, kama tu kipindi cha Nyerere tulovyokua centre ya kukutania wapigania uhuru.Sasa isingekuwa uhuru kutoka mkoloni but uhuru wa kiuchumi.
Shida CCM, CCM - hawa watu ujinga wao, kuwa shortsited, wizi wa madaraka, kukosa uzalendo kwa kuendekeza uchama kuliko nchi ndo shida ya Tz yetu.Kimekua chama cha mapinduzi zidi ya wananchi....kama chama cha Kiimla.Nyerere atakua analia na kusaga meno huko aliko
 
Tanzania hatutaki kushiriki kwa sasa tumefocus kuzimaliza nyumbu zinazotaka kuleta machafuko.

Na tutahakikisha Nyumbu mnatubu.
 
JF unaingia Kwa VPN

X Unaingia Kwa VPN

Hapa nani nyumbu kati yako unayesapoti Ujinga na wanaopinga Ujinga?
Kwahiyo nyumbu kwa akili zenu kila mnaemuona jf au X mnafikiri anatumia VPN
 
Back
Top Bottom