Tanzania kujipatia faida ya asilimia 60 nayo Uganda ikipata asilimia 40 kutokana na uwekezaji wa mafuta

Kabla ya kutoka povu heb jielimishe kwanza kwa kutafuta information sahihi na km umeshindwa uulize tusaidiane taarifa
Wapi picha ya mkataba unaosainiwa!!!? Waziri mawaziri wa mambo ya nje na sheria walihudhuria???
Nyie mbona hamna akili kiasi hiki??
 
Yaani hili taifa lina viumbe wa ajabu sana!!!

Yaani mwenye mafuta apate 40%, na Tanzania ipate 60% kisa tu bomba limepita nchini mwake?!

Btw, kama Uganda wanapata 40%, Tanzania 60%, na Total wanaowekeza wanapata % ngapi?!
 
Tatizo letu ni tabia ya kufikia conclusion bila ya kuwa na all relevant facts mezani. Unazijua responsibilities (obligations) za kila upande, kwa mujibu wa makubaliano yaliyofikiwa? Unajua jukumu la protection, upkeep ya miundo mbinu ni la nani? Unajua hiyo inayoitwa “faida” inakokotolewaje?

Yapo majukumu ambayo akibebeshwa anayelipwa 60% anaishia kuambulia pesa ya mboga na sana sana indirect benefit inayotokana na watu wake (host) kunufaika kwa namna moja au nyingine!
Hakuna cha "facts" hapo! Look,
''Niliamua kwamba wacha tuwache kuchelewesha tuanze mradi. Tuliongea kwa simu mimi na mdogo wangu, nikamwambia achukue hata asilimia 70 au 80 lakini mdogo wangu akaona aibu akasema hapana , ni asilimia 60 itakwenda Tanzania, 40 nayo ikisalia na Uganda.
Ni biashara ya aina gani inaenda kwa staili hiyo?! Tena biashara ambayo Uganda wenyewe wanaitolea jicho kweli kweli lakini wanaishia kupigiana simu na kuulizana "utachukua ngapi", "nitachukua x", "ah, basi poa, hutaki zaidi"?

Nawe unaamini upuuzi kama huo na kuita eti fact?!

Na Total wanaowekeza Trillons of TZS nao waliongea nao vipi kuhusu kugawana faida?

Kusoma hujui, hata picha ukutani huzioni?!
 
Utopolo fc in the making
Sikujua kwamba na wewe ni kilaza mkubwa katika masuala ya uchumi. Bora ubaki katika ulozi.

Huwa mna comment hata kujua mncho comment ni nini.

Kuna gharama ya kupitisha mapipa ya mafuta kwenye bomba, kila pipa lina gharama yake. Hiyo 70% na 40% ni mgao wa fedha zinazopatikana kutoka kwenye tozo ya mafuta yanayopita kwenye bomba la mafuta. Sehem kubwa ya bomba ipo Tanzania kwa hiyo ndio maana Tanzania inapata zaidi.

Nimegundua waTanzania wengi ni wajinga na ndio maana wengi wanashabikia na kukoment ujinga.
 
Yaani hili taifa lina viumbe wa ajabu sana!!!

Yaani mwenye mafuta apate 40%, na Tanzania ipate 60% kisa tu bomba limepita nchini mwake?!

Btw, kama Uganda wanapata 40%, Tanzania 60%, na Total wanaowekeza wanapata % ngapi?!
Acha ujinga, unaelewa hiyo 60% na 40% ni mgao wa nini?
Ni fedha ya tozo ya mafuta yanayopita kwenye bomba kwa kila pipa.

Yaani wajinga ni kazi sana kuwaelewesha
 
Hio 60% ya Toll Charges...60% ya gharama ya ushafirishaji wa mafuta mafuta sio kununua au kuuza mafuta...hio ya kuuza mafuta ni biashara ingine kati ya Uganda na Total....
Ni km Leo ijegwe Express road kutoka Dar mpaka Moro ambayo kupitisha roli la mafuta unalipia then mapato ya ile toll fees igawane mikoa hio road inapopitia...habari ya mafuta Muuzaji alikuuzia bei gani au unaenda kuyauza bei gani mikoa haihusiki hapo...uhusika wetu ni km wa hio mikoa
Now this is true JF
 
QUOTE="road master, post: 36676528, member: 599197"]
Vitu vingine ukiwa na akili huwezi kukubali labda uwe mpumbavu tuu!!! Hivi unakuba tutapata 60% wakati mafuta niya Uganda??? Hivi huwa mnafikiri kwa kutumia kiungo gani??? Hivi kwann watz wajinga hivi??? Yani mafuta ni ya Uganda ila kupitia tuu Tz tupate60%??? Je hiyo 60% ni yann??? Ya nn!??
kweli watanzania ni wajinga tunadanganywa kwa vitu tusivyovijua na ndio maana nakubaliana na wewe kuwa hata mtoto mdogo hatakubali
  • Uganda imeingia gharama za utafiti, uchimbaji, usafiri wa hiyo crude oil
  • Tanzania tumetega njia tu
sawa na upande Basi la SHABIBY Bukoba Dar nauli mfano ni 100,000/
sasa mwenye mabasi anakuambia kusafiria kwenye mabasi yake apite barabara za Tanzania lipa nauli 40,000/
watanzania watasema 60,000. tumesamehewa
tukijiona mabasi ni ya kwetu, wakati mabasi, utajiri na gharama ni za Shabiby
kwa hiyo Uganda hajatupa Total Gross
[/QUOTE]Hujielewi. Hata mfano wako wewe mwenyewe hauelewi unaongea nini... Tuliza akili..vuta subira jifunze kuficha aibu zako.usikurupuke
 
Hakuna cha "facts" hapo! Look,
Ni biashara ya aina gani inaenda kwa staili hiyo?! Tena biashara ambayo Uganda wenyewe wanaitolea jicho kweli kweli lakini wanaishia kupigiana simu na kuulizana "utachukua ngapi", "nitachukua x", "ah, basi poa, hutaki zaidi"?

Nawe unaamini upuuzi kama huo na kuita eti fact?!

Na Total wanaowekeza Trillons of TZS nao waliongea nao vipi kuhusu kugawana faida?

Kusoma hujui, hata picha ukutani huzioni?!

Kama unayajua yaliyomo kwenye mkataba uliosainiwa yaweke hapa na sisi tuyapime! Vinginevyo, you’re perpetuating the same lunacy of forming an opinion almost out of nothing!
 
Acha ujinga, unaelewa hiyo 60% na 40% ni mgao wa nini?
Ni fedha ya tozo ya mafuta yanayopita kwenye bomba kwa kila pipa.

Yaani wajinga ni kazi sana kuwaelewesha
Nawe acha upumbavu wa kushabikia vitu usivyovijua, pumbavu kubwa wewe!!! Iwe ya nini wakati wameshakudanganya kwamba ni faida' VERY STUPID!!
 
Kama unayajua yaliyomo kwenye mkataba uliosainiwa yaweke hapa na sisi tuyapime! Vinginevyo, you’re perpetuating the same lunacy of forming an opinion almost out of nothing!
Jinga lingine hili!

Utake mkataba hao waliokuambia mtapewa 60% wamekuonesha mkataba zaidi ya kukuambia eti walipigiana simu kuulizana unataka asilimia ngapi nawe kama zuzu unataka kuanza kushangilia!!!

Total waingie kila gharama! Uganda wawe ndo wamiliki wa raslimali husika! Halafu unaambiwa mtapewa faida ya 60% nanyi kama mazuzu mnashabikia? Very stupid!
 
Siasa mbaya..

Ukweli ni kwamba Tanzania itapata around ths 7.5 Trioni ndani ya miaka 25 sawa na tsh 833M kwa siku.
Makubaliano ya bomba la mafuta: Tanzania kujipatia faida ya asilimia 60 nayo Uganda ikipata asilimia 40

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli na mwenzake wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni katika picha ya awali

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli na mwenzake wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni katika picha ya awali​

Viongozi wa Tanzania na Uganda hatimaye wamekubaliana kuhusu ujenzi wa bomba la mafuta linalotarajiwa kujengwa kutoka mji wa Hoima nchini Uganda hadi changalieni mjini TangaTanzania.

Katika makubaliano hayo yaliotiwa saini na mawaziri wa nishati kutoka pande hizo mbili na marais wa mataifa hayo mawili John Pombe Magufuli wa Tanzania na Yoweri Museveni wa Uganda katika eneo la Chato , asilimia 60 ya faida ya mafuta hayo itaenda kwa Tanzania huku asilimia 40 ikienda kwa Uganda.​
Akizungumza katika hafla hiyo , rais wa Uganda Yoweri Museveni alisema kwamba cha muhimu ilikuwa kuanza mradi huo aliodai kucheleweshwa kutokana na mlipuko wa virusi vya corona.​
''Niliamua kwamba kucheleweshwa kwa mradi huu kwasababu ya zile dola milioni 800 sio jambo la akili kwasababu tunazugumnzia kuzalisha mapipa bilioni 6.5 ikiwa ni asilimia 40 pekee ya mafuta yaliogunduliwa katika eneo la Albert, lakini huenda tukapata mafuta hata zaidi katika eneo hilo'', alisema.​
Rais Museveni akihutubia uma baada ya kutia saini mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanzania

Rais Museveni akihutubia umma baada ya kutia saini mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanzania.​

Kiongozi huyo amesema kwamba uwekezaji wa bomba hilo la mafuta utagharimu dola bilioni 4 za Marekani.​
''Niliamua kwamba wacha tuwache kuchelewesha tuanze mradi. Tuliongea kwa simu mimi na mdogo wangu, nikamwambia achukue hata asilimia 70 au 80 lakini mdogo wangu akaona aibu akasema hapana , ni asilimia 60 itakwenda Tanzania, 40 nayo ikisalia na Uganda.​

Awali akizungumza, Rais Magufuli amesema kwamba mradi huo utaimarisha uchumi wa mataifa haya mawili na eneo lote la Afrika mashariki na kati. Alisema kwamba mataifa yaliopo katika ushoroba wa kaskazini yatafaidika pakubwa na bomba hilo.​

Uganda kupitishia mafuta yake Tanzania

Uganda kupitishia mafuta yake Tanzania

Rais Magufuli akimpongeza rais Museveni baada ya kutia saini uanzishaji wa ujenzi wa bomba la mafuta Kutoka Uganda hadi Tanzania

Rais Magufuli akimpongeza rais Museveni baada ya kutia saini uanzishaji wa ujenzi wa bomba la mafuta Kutoka Uganda hadi Tanzania
Amesema kwamba takriban Watanzania kati ya 10,000 na hadi 15,000 watafaidika na ajira za kazi mradi huo utakapokamilika.​
Ameongezea kwamba bomba hilo litakuwa refu zaidi duniani linalotumia teknolojia ya kupasha moto mafuta likiwa na urefu wa kilomita 1445.​
''Litakuwa bomba refu zaidi duniani lenye teknolojia ya sasa ya kusafirisha mafuta yakiwa katika joto'', alisema raia Magufuli​
Kilomita 1115 za bomba hilo zitakuwa upande wa Tanzania huku kilomita 330 zilizosalia zikiwa upande wa Tanzania.​
Rais Magufuli amesema kwamba mradi huo utapitia mikoa minane ikiwemo wilaya 24. Mikoa hiyo ni Kagera, Geita , Shinyanga , Tabora, Singida, Dodoma, Manyara, na Tanga.​
Bomba hilo la mafuta litakwenda kilomita 1,400km kuanzia Hoima, hadi kwenye bandari ya Tanga


Maelezo ya picha,
Bomba hilo la mafuta litakwenda kilomita 1,400km kuanzia Hoima, hadi kwenye bandari ya Tanga​
Magufuli amesema kwamba Watanzania 90,000 watakaoathiriwa mashamba yao watalipwa fidia ya bilioni 21 fedha za Tanzania.​
Ameongezea kwamba Ujenzi wa vituo 14 vya bomba hilo vitawafidia watakaoathiriwa bilioni 9.9 za Tanzania.​
 
Wanachadema kila kitu ni kupinga tu, poleni sana.
Wana akili za kujitegemea ndio maana ni wadadisi!! Wew kwa akili za kawaida mtu mafuta ni yake, kupitisha tu kwako upate asilimia 60?,labda waeleze ni ya kwenye nini!! Lakini nyie ambao fikra za mwenyekiti ndio fikra za kila mmoja ndio shida!!!
 
kweli watanzania ni wajinga tunadanganywa kwa vitu tusivyovijua na ndio maana nakubaliana na wewe kuwa hata mtoto mdogo hatakubali
  • Uganda imeingia gharama za utafiti, uchimbaji, usafiri wa hiyo crude oil
  • Tanzania tumetega njia tu
sawa na upande Basi la SHABIBY Bukoba Dar nauli mfano ni 100,000/
sasa mwenye mabasi anakuambia kusafiria kwenye mabasi yake apite barabara za Tanzania lipa nauli 40,000/
watanzania watasema 60,000. tumesamehewa
tukijiona mabasi ni ya kwetu, wakati mabasi, utajiri na gharama ni za Shabiby
kwa hiyo Uganda hajatupa Total Gross
Hujielewi. Hata mfano wako wewe mwenyewe hauelewi unaongea nini... Tuliza akili..vuta subira jifunze kuficha aibu zako.usikurupuke
[/QUOTE]

yaani katika mambumbu wewe hufai kuitwa angalia ulichokiweka
wewe ndio JINGA kwelikweli sasa ulichoQuite na kukiandika hukijui
bakia kuCopy tu maana hata kumuelewesha mwanao hujui
hebu nioneshe majibu yako kuwa Tanzania tunapata faida zaidi ya Uganda ni wapi utuelimishe

ficha AIBU yako kajifunze kupost
 
Mafuta ya kwao, kupitisha kwako tu wakupe (60) faida kubwa kuliko wao (40)?
Hata hiyo 60% tumejipunja ilitakiwa iwe 80%. Jaribu kuwauliza wanaoujua huu mradi wakufafanulie maana naona bado uko gizani hujui kitu chochote kuhusu huu mradi.
 
Vitu vingine ukiwa na akili huwezi kukubali labda uwe mpumbavu tuu!!! Hivi unakuba tutapata 60% wakati mafuta niya Uganda??? Hivi huwa mnafikiri kwa kutumia kiungo gani??? Hivi kwann watz wajinga hivi??? Yani mafuta ni ya Uganda ila kupitia tuu Tz tupate60%??? Je hiyo 60% ni yann??? Ya nn!??
Du! jaribu kuwa mdadisi kwanza ili uelewa vizuri kabla ya kuposti hapa maana inaonekana hujui kitu chochote. Kwa kifupi hata hiyo 60% ni kidogo ilitakiwa tupewe 80%.
 
Hata hiyo 60 tumejipunja ilitakiwa iwe 80. Jaribu kuwauliza wanaoujua huu mradi wakufafanulie maana naona bado uko gizani hujui kitu chochote kuhusu huu mradi.
Tujuze basi maana mm nilidhani ni kama mfano wa mimi nina kisima cha maji kwemy3 ploti yangun nimepata wateja mtaa wajirani nalazimika kupitisha bomba kaenye eneo lako nakuuliza unchaji cost za kulipitisha bomba
 
Hivi huyu Jiwe anatuonaje?? Yaani huu uongo wa mchana wa kazi gani?? Yaani mwenzako atumie rasilimali fedha na watu wake kuchimba kisha kutafuta masoko halafu ww bila aibu eti upewe 60%?? Kisa bomba limepitia kwenye nchi yako?? Na hao vijana 90,000 wanafanya kazi gani kulinda au bomba lile linapitia kwenye mabega yao?? Ndege wafananao huruka pamoja(wote madikteta).
Jaribu kujieleimisha na kujua mambo kwanza kabla ya kuposti hapa. Unaonekana kituko hujui unalolifahamu kuhusu hili bomba la mafuta. Hata hiyo 60% tumejipunja ilitakiwa iwe 80%.
 
Back
Top Bottom