themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 988
- 3,318
Kama nimekosea mnieleweshe Tafadhali
Niliskia Bomba la mafuta linalotokea Hoima Uganda , yale mafuta yakichimbwa uganda yanasafirishwa hadi Bandari ya Tanga kisha yanapakiwa kwenye meli then yanasafiriswa ulaya kwenda kusafishwa hapo ndio huwa naskia inapatikana petroli,diezel na mafuta mengine
Swala nalojiuliza ni kwa nini Mfaransa hakujenga mitambo ya kuyasafisha yale mafuta pale pale Uganda yaani kama ni Petroli na Diezel zipatikane hapo hapo ili haya mafuta yapatikane hapa hapa kwa bei nafuu?, maana yake mafuta yakichimbwa Uganda yakipelekwa Ufaransa yakirudi Tanzania au Uganda bei ni ile ile
Ndio maana nasema Waafrica tusipoamka kuwa na wataalam wanaoweza kuunda mitambo na kujitegemea wenyewe mzungu ataendelea kufanya hili bara kuwa maskini
Hata Gesi iliyovumbuliwa mtwara hadi leo hii haijawahi saidia lolote kwenye kupungua kwa garama za maisha sana sana mzungu ndio anafaidika
Madini niliskia mzungu anavuna mchanga anasafirisha hadi ulaya kuchuja madini ndio maana Magufuli alikuwa mtata
Niliskia Bomba la mafuta linalotokea Hoima Uganda , yale mafuta yakichimbwa uganda yanasafirishwa hadi Bandari ya Tanga kisha yanapakiwa kwenye meli then yanasafiriswa ulaya kwenda kusafishwa hapo ndio huwa naskia inapatikana petroli,diezel na mafuta mengine
Swala nalojiuliza ni kwa nini Mfaransa hakujenga mitambo ya kuyasafisha yale mafuta pale pale Uganda yaani kama ni Petroli na Diezel zipatikane hapo hapo ili haya mafuta yapatikane hapa hapa kwa bei nafuu?, maana yake mafuta yakichimbwa Uganda yakipelekwa Ufaransa yakirudi Tanzania au Uganda bei ni ile ile
Ndio maana nasema Waafrica tusipoamka kuwa na wataalam wanaoweza kuunda mitambo na kujitegemea wenyewe mzungu ataendelea kufanya hili bara kuwa maskini
Hata Gesi iliyovumbuliwa mtwara hadi leo hii haijawahi saidia lolote kwenye kupungua kwa garama za maisha sana sana mzungu ndio anafaidika
Madini niliskia mzungu anavuna mchanga anasafirisha hadi ulaya kuchuja madini ndio maana Magufuli alikuwa mtata