Tanzania kujipatia faida ya asilimia 60 nayo Uganda ikipata asilimia 40 kutokana na uwekezaji wa mafuta

Bomba mali yao,mafuta mali yao halafu wakupe 60%,kweli jk katuachia kiongozi mwongo kuwahi kutokea duniani
Wewe ndiyo unaonekana kituko maana hujui chochote, hata hiyo 60% tumepunjwa ilitakiwa iwe 80%. Taafuta taarifa kwanza ndipo uje hapa na si kukurupa bila kuwa na taarifa sahihi.
 
Upumbavu mwingine haufai hata kujadili.TAZAMA PIPELINE(TANZANIA-ZAMBIA PIPELINE) ina Km 1,737.4 leo tunadanganywa na hawa "wagonjwa" eti km 1445 ni parefu kuliko km 1737.4
Du! kama huelewi uwe unauliza kwanza unajiaibisha! hata kukuelewesha naona kama nitapoteza muda tu inaonekana una unaufahamu mdogo sana.
 
Jinga lingine hili!

Utake mkataba hao waliokuambia mtapewa 60% wamekuonesha mkataba zaidi ya kukuambia eti walipigiana simu kuulizana unataka asilimia ngapi nawe kama zuzu unataka kuanza kushangilia!!!

Total waingie kila gharama! Uganda wawe ndo wamiliki wa raslimali husika! Halafu unaambiwa mtapewa faida ya 60% nanyi kama mazuzu mnashabikia? Very stupid!

The quality of your brain is fully reflected in your language. Insults and other sorts of indecency are all we can expect from low-quality brain!
 
Sikujua kwamba na wewe ni kilaza mkubwa katika masuala ya uchumi. Bora ubaki katika ulozi.

Huwa mna comment hata kujua mncho comment ni nini.

Kuna gharama ya kupitisha mapipa ya mafuta kwenye bomba, kila pipa lina gharama yake. Hiyo 70% na 40% ni mgao wa fedha zinazopatikana kutoka kwenye tozo ya mafuta yanayopita kwenye bomba la mafuta. Sehem kubwa ya bomba ipo Tanzania kwa hiyo ndio maana Tanzania inapata zaidi.

Nimegundua waTanzania wengi ni wajinga na ndio maana wengi wanashabikia na kukoment ujinga.
Jamaa alikuwa amejijengea heshima kubwa sana kwa zile mada zake za kishirikina na watu wakamuamini mno, lakin sasa ndio anatuonesha nini kilichomo kichwani mwake
 
Gharama za Ushafirishaji wa Mafuta kutoka Uganda mpaka Tanga zinakadiriwa kua $12.25 kwa pipa...ktk hii sisi yetu ni 60% Uganda yao ni 40%....hii ni nje ya Pesa ambayo Total itawalipa Uganda km Mrahaba, Kodi huko Uganda na gharama nyingine km zipo...na ni nje na pesa Ambayo Total itaenda kuyauza huko nje...sisi chetu ni 60% ya gharama za usafirishaji kutoka Uganda kuja Tanga...hayo mengine hayatuhusu
Mkuu umenitoa tongo tongo. Thanks
 
The quality of your brain is fully reflected in your language. Insults and other sorts of indecency are all we can expect from low-quality brain!
Very stupid! Nilikuuliza ikiwa unaamini upuuzi ulioongelewa, badala yake ukasema naendeleza UPUMBAVU ule ule....! Hiyo lugha uliyotumia ni ya kiungwana?! Asiye mpumbavu anaweza vipi kuendeleza upumbavu?!

Ukitaka watu watumie lugha ya staha dhidi yako, unatakiwa kwanza kujifunza jinsi ya kutumia lugha ya staha kwa wenzako!!
 
Alafu watanzania tuwe wagikirifu kidogo,kwanza tujadili nn maana ya faida? Faida ni kinachobakia baada ya kulipa / kutoa running cost zote kinachobakia ndo faida sasa sisi tunausikaje ktk running cost ili nasi tuoewe dividend ? Hapo share holders tu ndo wanagawana kwa mtindo wa percent cc tutapata kwa mtindo wa kuhesabu mapipa na kucharge some cent of USD per pipa otherwise mradi hautakuwa na manufaa kuupitisha Tanzania, na ujue Uganda kwetu tunawabembeleza wasiamishe mradi hivyo convincing power yetu ni ndogo ktk maamuzi kwa ujumla
 
Very stupid! Nilikuuliza ikiwa unaamini upuuzi ulioongelewa, badala yake ukasema naendeleza UPUMBAVU ule ule....! Hiyo lugha uliyotumia ni ya kiungwana?! Asiye mpumbavu anaweza vipi kuendeleza upumbavu?!

Ukitaka watu watumie lugha ya staha dhidi yako, unatakiwa kwanza kujifunza jinsi ya kutumia lugha ya staha kwa wenzako!!

This is much ado about nothing! You’re opining on something you know nothing about. As I said previously, there isn’t much to expect from you. Needless to say, I cannot possibly teach you on the spur of the moment what your teachers couldn’t teach you over a span of years.
 
This is much ado about nothing! You’re opining on something you know nothing about. As I said previously, there isn’t much to expect from you. Needless to say, I cannot possibly teach you on the spur of the moment what your teachers couldn’t teach you over a span of years.
Hata ukiandika kwa Kiingereza wakati ulianza mjadala kwa Kiswahili bado hiyo haitakufanya usiwe stupid!!!
 
Tatizo letu ni tabia ya kufikia conclusion bila ya kuwa na all relevant facts mezani. Unazijua responsibilities (obligations) za kila upande, kwa mujibu wa makubaliano yaliyofikiwa? Unajua jukumu la protection, upkeep ya miundo mbinu ni la nani? Unajua hiyo inayoitwa “faida” inakokotolewaje?

Yapo majukumu ambayo akibebeshwa anayelipwa 60% anaishia kuambulia pesa ya mboga na sana sana indirect benefit inayotokana na watu wake (host) kunufaika kwa namna moja au nyingine!
Nirahisi sana kujua hii, sijui watu wanajitoa akili makusudi ama vipi.
 
Alafu watanzania tuwe wagikirifu kidogo,kwanza tujadili nn maana ya faida? Faida ni kinachobakia baada ya kulipa / kutoa running cost zote kinachobakia ndo faida sasa sisi tunausikaje ktk running cost ili nasi tuoewe dividend ? Hapo share holders tu ndo wanagawana kwa mtindo wa percent cc tutapata kwa mtindo wa kuhesabu mapipa na kucharge some cent of USD per pipa otherwise mradi hautakuwa na manufaa kuupitisha Tanzania, na ujue Uganda kwetu tunawabembeleza wasiamishe mradi hivyo convincing power yetu ni ndogo ktk maamuzi kwa ujumla
Short and clear, Magu na Mu-7 wanadhani sote ni wajinga! Kudai kwamba eti:-
Katika makubaliano hayo yaliotiwa saini na mawaziri wa nishati kutoka pande hizo mbili na marais wa mataifa hayo mawili John Pombe Magufuli wa Tanzania na Yoweri Museveni wa Uganda katika eneo la Chato , asilimia 60 ya faida ya mafuta hayo itaenda kwa Tanzania huku asilimia 40 ikienda kwa Uganda.
Huo ni UONGO wa kutupwa!!!

Ningejitahidi kuwaelewa endapo wangesema faida itakayotokana mapato ya USAFIRISHAJI wa mafuta!

Kwamba, kuna independent entity inayomiliki Bomba la Mafuta. Hii entity itakuwa inalipwa na kampuni zitakazomiliki mafuta ya Uganda, na hatimae kusafirisha mafuta through the pipeline.

Moja ya hizo kampuni ni Total!

Sasa pesa zitakazopatikana EXCLUSIVELY kwa kusafirisha mafuta through hilo bomba, ndiyo Tanzania itapata mgao wake kwa sababu bomba litapita kwenye ardhi yake!!

Lakini kusema eti Tanzania itapata 60% ya faidha ya mafuta, ni ujinga unaoweza kuaminiwa na wajinga peke yake!!
 
Watanzania tuna kasumba ya kutokuelewa taarifa kwa usahihi (lack of informations) na kuanza kuleta ubishani/ujuaji usio kuwa na tija.
Kwenye ujenzi wa bomba la mafuta kati ya Tanzania na Uganda, maridhiano ya ujenzi wa hii pipe lines ni kwaajili ya transportation tu.
Uuzwaji wa mafuta ni suala lingine ambalo linaihusu nchi ya Uganda kwa maana wao ndio wachimbaji wa hiyo raslimali.

My point.
Kwenye profit sharing percentage i.e Tanzania 60% and uganda 40% haya makubaliano ni wakati wa kupitisha mafuta kwa kila pipa lenye mafuta linapopita kwenye hilo bomba (HOIMA (Uganda) to TANGA (Tanzania).
Transportation cost (hii ni kama revenue/profit kwa Tanzania na Uganda) itakayokua inalipwa na makampuni yanayonunua hayo mafuta kutoka Uganda kuja bandari ya tanga kwaajili ya kwenda sehemu mbali mbali ndiyo itagawanywa kwa nchi zote mbili kama sehemu ya kodi au faida kwa makampuni kutumia hilo bomba.
Tanzania imechukua 60% kutokana na sehemu kubwa ya ujenzi zaidi ya km 1145 zitakua upande wa Tanzania wakati kwenye nchi ya Uganda ni km 300 pekee ambapo itachukua 40%
Kila nchi itahusika na maintainance and security.
Hivyo ni dhahiri Tanzania itakua na obligations/responsibilities kubwa zaidi kwenye kuhakikisha sustainability ya hili bomba na mradi wote kwa ujumla wake.
Magufuli ameamuatu kiume ilimambo yaende, otherwise bado ug watafaidisana kwenye garama za usafirishaji.

Ug wana sehemu ndogo sana ya kuhudumia hilo bomba, ingekuwa angalau 80% kwa tanzania ingeleta maana zaidi.
 
Nirahisi sana kujua hii, sijui watu wanajitoa akili makusudi ama vipi.
Kwahiyo na wewe unaamini wakati....
1. Mafuta yapo kwenye ardhi ya Uganda,
2. Kuna kampuni za kimataifa za uchimbaji mafuta nadhani 3 including TOTAL wanaochimba hayo mafuta,
3. Kuna wanaogharamia ujenzi wa hilo bomba la mafuta
4. Role ya Tanzania ni ardhi yake kupita bomba la mafuta;

LAKINI pamoja na yote hayo unaamini FAIDA itakayopatikana kwenye mafuta, Tanzania itapata 60%, Uganda 40%?!

TOTAL ambae ndie mwekezaji mkuu watapata % ngapi?

Tullow Oil ya UK watapata % ngapi?!

Mmiliki wa bomba atapata % ngapi?!

NARUDIA TENA HAPA, it's obvious kutakuwa na gharama za usafirishaji wa mafuta kupitia hilo bomba! Wachimbaji wa mafuta watatakiwa kumlipa mmiliki wa bomba husika!!!

Tutakachopata Tanzania ni % kutoka kwa huyo mmiliki wa bomba kwa sababu amelipitisha kwenye ardhi yetu lakini HAIWEZEKANI eti Tanzania itapata 60% ya faida ya mafuta...

Ask yourself, wewe ungekuwa ndo Museven ungekubali?!
 
Nilijisikia aibu sana kama Mtanzania mzalendo pale niliposikia kwamba Uganga wametafuta mafuta kwa kutumia watalamu wa ndani lakini Tanzania tuna wasomi ambao kazi yao ni kusaini tu mikataba badala ya kuelekeza mawazo yao kwenye kutafuta mafuta na gesi ,Uganda wametudharau sana
 
Kwahiyo na wewe unaamini wakati....
1. Mafuta yapo kwenye ardhi ya Uganda,
2. Kuna kampuni za kimataifa za uchimbaji mafuta nadhani 3 including TOTAL wanaochimba hayo mafuta,
3. Kuna wanaogharamia ujenzi wa hilo bomba la mafuta
4. Role ya Tanzania ni ardhi yake kupita bomba la mafuta;

LAKINI pamoja na yote hayo unaamini FAIDA itakayopatikana kwenye mafuta, Tanzania itapata 60%, Uganda 40%?!

TOTAL ambae ndie mwekezaji mkuu watapata % ngapi?

Tullow Oil ya UK watapata % ngapi?!

Mmiliki wa bomba atapata % ngapi?!

NARUDIA TENA HAPA, it's obvious kutakuwa na gharama za usafirishaji wa mafuta kupitia hilo bomba! Wachimbaji wa mafuta watatakiwa kumlipa mmiliki wa bomba husika!!!

Tutakachopata Tanzania ni % kutoka kwa huyo mmiliki wa bomba kwa sababu amelipitisha kwenye ardhi yetu lakini HAIWEZEKANI eti Tanzania itapata 60% ya faida ya mafuta...

Ask yourself, wewe ungekuwa ndo Museven ungekubali?!
Sisi tutapata 60% kwenye garama za usafirishaji.

Kwenye 100% ya garama za usafirishaji sisi yakwetu ni 60, itajumuisha ulinzi na services nyingine.
Faida ya jumla ya mauzo ya mapipa ya mafutaghafi sisi haituhusu.

Sisi tutahusika katika mpango wa usafirishaji, yani kama pipa moja kutoka ug mbaka tanga ni sh 100, sisi tutapata sh 60 na wao ug 40.

Sababu sehemu kubwa ya bomba lakusafirishia mafuta litakuwa kwetu,hivyo hata garama za kulihudumia zitakuwa ni kubwa kwetu.
 
Sisi tutapata 60% kwenye garama za usafirishaji.

Kwenye 100% ya garama za usafirishaji sisi yakwetu ni 60, itajumuisha ulinzi na services nyingine.
Faida ya jumla ya mauzo ya mapipa ya mafutaghafi sisi haituhusu.

Sisi tutahusika katika mpango wa usafirishaji, yani kama pipa moja kutoka ug mbaka tanga ni sh 100, sisi tutapata sh 60 na wao ug 40.

Sababu sehemu kubwa ya bomba lakusafirishia mafuta litakuwa kwetu,hivyo hata garama za kulihudumia zitakuwa ni kubwa kwetu.
Wenyewe hivi ndivyo wanavyosema:-
Katika makubaliano hayo yaliotiwa saini na mawaziri wa nishati kutoka pande hizo mbili na marais wa mataifa hayo mawili John Pombe Magufuli wa Tanzania na Yoweri Museveni wa Uganda katika eneo la Chato , asilimia 60 ya faida ya mafuta hayo itaenda kwa Tanzania huku asilimia 40 ikienda kwa Uganda.​
Na hata wale uliosema "wanajitoa ufahamu" wanachobisha ni hicho hapo juu!!!​

Kwa mana nyingine, uliokuwa unadhani wanajitoa ufahamu sio wanaojitoa ufahamu bali ndio wapo timamu lakini wale wanaoshangilia na ukaamini wapo timamu, hao ndio wanajitoa ufahamu kwa sababu wapo tuned kushangilia kila kitu!!!
 
Back
Top Bottom