Naomba Msaada kuunganishiwa umeme, Nimelipia tangia tarehe 20/1)2024
Mahali : MTWARA MJINI
Mtaa: Ufukoni stendi
Jina. AUREUS CHARLES NDIMBO
Simu. 0683420332
Nitashukuru sana
Naomba kukumbushia kuhusu Ombi langu hili.
Nimekuwa nikipigiwa Simu mara Kwa mara kwamba Wanakuja kuleta nguzo lkn hawafiki. Ni wiki Sasa na ukiwapigia wao simu hazipokelewi

Au Kuna utaratibu mwingine natakiwa kufanya mara baada ya kulipia Ili niunganishiwe umeme?

Please Tannesco, naomba kuunganishiwa umeme kama nimekidhi vigezo unless niambiwe kama Bado taratibu sijakamilisha. Nimechoka kukaa Giza , Naamini Mtalifanyia kazi .
 
Naomba kukumbushia kuhusu Ombi langu hili.
Nimekuwa nikipigiwa Simu mara Kwa mara kwamba Wanakuja kuleta nguzo lkn hawafiki. Ni wiki Sasa na ukiwapigia wao simu hazipokelewi

Au Kuna utaratibu mwingine natakiwa kufanya mara baada ya kulipia Ili niunganishiwe umeme?

Please Tannesco, naomba kuunganishiwa umeme kama nimekidhi vigezo unless niambiwe kama Bado taratibu sijakamilisha. Nimechoka kukaa Giza , Naamini Mtalifanyia kazi .
TANESCO hamjaona hili OMBI au bado mnabonyeza switch ya kuzima umeme..?

Ngoja nijiongeze ni mwendo wa Solar tu
Funga Solar umeme wa TANESCO uwe ni just in case maana hawaeleweki
 
Sikonge Tabora siku ya 2 leo hatuna umeme na hadi saa hz inaenda saa 5 usiku haujarudi.
 
Sikonge Tabora siku ya 3 mfululizo leo hatuna umeme,kila siku unarud saa 6 au 7 usiku then asububi kabla watu hawajaamka unakatika.
 
Hali ya Umeme, hapa Kisewe, Mbande ni Kesi maalumu. Wananchi wamekata tamaa kabisa kila mwananchi amenunua Taa ya kuchaji maana umeme kukatika siku mbili tatu, au zaidi ni jambo la kawaida kabisa! Tangu nizaliwe sijawahi kuona Adha ya aina hii ya umeme. Hatuwezi kufanya Kazi kabisa. Tanesco fanyeni jambo.
 
Tuoneeni huruma jamani rudisheni umeme kama kuna shida tuweken wazi watanzania mbn ni waelewa usku tunakosa usingizi joto kali mbu wanauma sio mchezo kwani umeme mnagawa bure,? Si tunaulipia dah hii nchi jamani haya bhana NA HIZO ELA MNAZOTAKA KUWEKA PICHA YA RAIS MAKE SURE KWA UPANDE WA NYUMA WEKENI PICHA YA JENERETA MAANA TUMETESEKA KAMA TUNAISHI VIJIJINI
 
Ila Tanesco, Mungu anawaona. Ukonga Dar es Salaam, wamewakosea nini? Kila siku usiku mnakata umeme? Ratiba ya mgao imeegemea huku tu? Shirika hili ni kero jamani, too much.
 
Tuoneeni huruma jamani rudisheni umeme kama kuna shida tuweken wazi watanzania mbn ni waelewa usku tunakosa usingizi joto kali mbu wanauma sio mchezo kwani umeme mnagawa bure,? Si tunaulipia dah hii nchi jamani haya bhana NA HIZO ELA MNAZOTAKA KUWEKA PICHA YA RAIS MAKE SURE KWA UPANDE WA NYUMA WEKENI PICHA YA JENERETA MAANA TUMETESEKA KAMA TUNAISHI VIJIJINI
Bora waseme ni mateso makubwa kuishi mjini bila umeme. Umeme unakatwa kama dozi ya Panadol. Kila siku, bora mkate mwezi mrekebishe, baada ya hapo mridishe. Nimewatusi Leo...
 
Umeme umekua mtihani hapa nchini na wanaotakiwa kutoka majibu wapo kimya je wanadhani tunaishije na mpaka Sasa wapo tu katika nafasi zao SI wajiondoe wapewe wenye uwezo kuendelea
 
Leo 18/2/24 kariakoo toka saa 11 jioni hakuna umeme hadi hivi sasa,saa nne usiku,hivi tanesco kuna shida gani?Kwanini tukose mapato kwa staili hii.Kariakoo ni business center jamani.Tanesco Ilala amkeni.
 
Huu sio mgawo, naanza kuwa nahofu kuhusu madai mawili ninayoyasikia mtaani kwenye vijiwe mbalimbali:
1. Hujuma kwa utawala wa Rais Samia
2. Biashara ya solar na generators.

Umeme unakatika na kuwaka baada ya kila masaa 2 kuanzia asubuhi mpaka saa 9, sasa umekatika tangu saa 9 mpaka muda huu, hatujui unarudi muda gani.
Maeneo ya Godown linalotumika kama kanisa Njiapanda Segerea
 
Back
Top Bottom