Ndugu Mteja!Inakuaje Kila ifikapo saa 7 au nane usiku umeme ukate Hadi saa 12 asubuhi? Lakini kwa wenye MITA za kutumia rimoti. Wale wa MITA za ukutani hawana tatizo Hilo na ni jirani zetu
Ndugu Mteja.TANESCO mnafilisi biashara zetu kwa hali hii.mna shida gani na mvua zote hizi?
Kimara siku ya pili hii mfululizo ikifika tu saa saba mchana mnakata umeme hadi jioni.
Ndugu MtejaTANESCO mnafilisi biashara zetu kwa hali hii.mna shida gani na mvua zote hizi?
Kimara siku ya pili hii mfululizo ikifika tu saa saba mchana mnakata umeme hadi jioni.
Leo jmosi saa tatu na nusu asubuhi mmeshakata umeme Kimara.This is sad,discouraging,disgusting!Ndugu Mteja
Tunashukuru kwa taarifa, Tumezipokea kwa ufatiliaji na hatua zaidi.
TANESCO Huduma kwa Wateja
Makao Makuu
0748550000^EB
Kimara mwisho.Laini hii ya Dawasco.Umeme ni mara ya tatu unakatika sasa yaani usiku huu nnavyokuandikia wamekata tena umeme mara ya tatu unakaa masaa mawili unarudi,unakaa masaa mawili unakatwa tena,yaani ni fujo.Sasa sisi wenye biashara ndio mnatuumiza vibaya yaani.Mikate haijaiva vizuri,umeme unakatika.embu niambie kaka.!Yaani mnaua mitaji kiukweli jiji kama Dar sio la kufanyiwa hivi.Mpendwa mteja, unaishi kimara maeneo gani?
Ndugu Mteja.Kimara mwisho.Laini hii ya Dawasco.Umeme ni mara ya tatu unakatika sasa yaani usiku huu nnavyokuandikia wamekata tena umeme mara ya tatu unakaa masaa mawili unarudi,unakaa masaa mawili unakatwa tena,yaani ni fujo.Sasa sisi wenye biashara ndio mnatuumiza vibaya yaani.Mikate haijaiva vizuri,umeme unakatika.embu niambie kaka.!Yaani mnaua mitaji kiukweli jiji kama Dar sio la kufanyiwa hivi.
Inachosha akili kabisa mtu unakata tamaa.
tusaidieni hali sio nzuri huku tafadhaliNdg zangu wa TANESCO tumewakosea nn mtaa wa Lindi /Congo kariakoo tangu saa nne asbh leo umeme hakuna familia zinapata taabu utadhani tupo sodoma na gomora au mpaka vichanga vinataka kuzimia kwa joto ndani?
Huruma yenu ipo wapi ndg zangu?
Ndugu mteja changamoto ya ilala ni matengenezo ya dharura kwenye baadhi ya transformer za ilala, hivo umelazimika kuzima baadhi ya line.wataalamu wetu wanafanya kila liwezekanalo kurejesha huduma. Tunaomba radhi kwa adha mnayopitia kwa sasa ^EBNdg zangu wa TANESCO tumewakosea nn mtaa wa Lindi /Congo kariakoo tangu saa nne asbh leo umeme hakuna familia zinapata taabu utadhani tupo sodoma na gomora au mpaka vichanga vinataka kuzimia kwa joto ndani?
Huruma yenu ipo wapi ndg zangu?
Ni ukweli mnaomba radhi je kama TANESCO Tz mlituambia ili tujiandae kuhamisha familia ziende wilaya nyingine Tunapata taaabu sana Mungu ndo anajuaNdugu mteja changamoto ya ilala ni matengenezo ya dharura kwenye baadhi ya transformer za ilala, hivo umelazimika kuzima baadhi ya line.wataalamu wetu wanafanya kila liwezekanalo kurejesha huduma. Tunaomba radhi kwa adha mnayopitia kwa sasa ^EB
Nawashukuru tangu saa nne asbh sasa saa 23:44 mmeturudishia Umeme kidogo familia zitapulizwa na feni maana kidogo watoto wazimieNdugu mteja changamoto ya ilala ni matengenezo ya dharura kwenye baadhi ya transformer za ilala, hivo umelazimika kuzima baadhi ya line.wataalamu wetu wanafanya kila liwezekanalo kurejesha huduma. Tunaomba radhi kwa adha mnayopitia kwa sasa ^EB