Ndugu wilaya nzima hakuna umeme MDA huu hakuna tangazo wala nini ,kama na wewe haupo tufalijiane
Ndani ya nusu saa, kuanzia saa moja na robo jioni hadi sasa mbili kasoro robo umeme umekatwa mara tatu, Sasa hivi umewashwa tena lakini hauna nguvu. Tanesco ivunjwe tu, haiwezekani mdudu huyu awe anakusanya pesa bila kutoa huduma stahiki.
 
Nilipo ulikatika alfajiri umerudi usiku huu...
Giza linatisha sana wale ndugu wanaonya.ndua.na gizani hakii siwaelewi
nimecheka sana, sijui kwa nini ukawaza hivyo we mtoto.

Mgao umeanza rasmi, sisi wenye viswaswadu havitunzi chaji tumekwisha.
 
Kwa Wilaya yako bado tunaendelea kuwafungia waliolipia mbele yako hivyo haupaswi kutoa chochote kwa mtu yeyoye na kama unamtu anayekuambia utoa chochote tupatie taarifa DM tuzifanyie kazi
Tanesco tunaomba majibu yanayoeleweka taarifa ya kukosekana kwa umeme ilikuwa inasema toka saa12 asubuhi hadi saa12 jioni saa hivi ni saa tatu na robo usiku umeme haujarejea tokea ulivyokatika saa11 na nusu alfajiri tufuate lipi naomba jibu
View attachment 2012074
 
Kwa Wilaya yako bado tunaendelea kuwafungia waliolipia mbele yako hivyo haupaswi kutoa chochote kwa mtu yeyoye na kama unamtu anayekuambia utoa chochote tupatie taarifa DM tuzifanyie kazi
Mkuu, Mlandizi ya Kibaha, wapo waliolipia tar 3/9/2021. Majibu tunayopewa ninkua tuwe wavumilivu bado wanapambana na foleni je tutegemee lini? Maana tar 3/9 mpqka leo ni zaidi ya two months and a half
 
Mkuu, Mlandizi ya Kibaha, wapo waliolipia tar 3/9/2021. Majibu tunayopewa ninkua tuwe wavumilivu bado wanapambana na foleni je tutegemee lini? Maana tar 3/9 mpqka leo ni zaidi ya two months and a half
Tafadhali onesha namba ya simu iliyoandikwa kwenye form kwa hatua zaidi
 
Kutokana na Kodi ya pango kukatwa kwenye LUKU, msaada wa kubadilisha jina lililokosewa kipindi cha usajili ni vitu gani natakiwa kupeleka kama vithibitisho?
 
TANESCO Nimelipia kuunganishiwa umeme 3/8/2021, kiasi 912,000 mpaka leo sijapata huduma nikiuliza naambiwa hawajui mita zinafika lini si bora mngeniambia nisilipe?
 
TANESCO Nimelipia kuunganishiwa umeme 3/8/2021, kiasi 912,000 mpaka leo sijapata huduma nikiuliza naambiwa hawajui mita zinafika lini si bora mngeniambia nisilipe?
Je uliandika namba ya simu upi kwenye fomu yako
 
  • Thanks
Reactions: 4wd
Sijui kipindi cha Kalemani hizi maitanance hazikuwepo?.... sijui Dr. Kalemani alikuwa anatumia ujuzi gani kuhakikisha umeme haukatiki mara kwa mara.

But, matatizo makubwa Mimi kwa upande wangu ni mawili.

1. Ujuaji wa waziri aliyepo sasa
2. Huwezi kuingia kwenye shirika afu unafumua management yote....

Tuna tatizo kubwa sana huko mbeleni. Mama awe makini na hawa vijana wenye ambition ya urais.
 
Sijui kipindi cha Kalemani hizi maitanance hazikuwepo?.... sijui Dr. Kalemani alikuwa anatumia ujuzi gani kuhakikisha umeme haukatiki mara kwa mara.

But, matatizo makubwa Mimi kwa upande wangu ni mawili.

1. Ujuaji wa waziri aliyepo sasa
2. Huwezi kuingia kwenye shirika afu unafumua management yote....

Tuna tatizo kubwa sana huko mbeleni. Mama awe makini na hawa vijana wenye ambition ya urais.
Kitendo cha Kalemani kufukuzwa bila ya sababu kuelezwa kimestaajabisha wengi!

Ninadhani kuna kamnyororo kasikoguswa ka kupachika hawa watu kwa maslahi binafsi.

Tunajiuliza: huyu mtu si alifukuzwa awamu ya5 Samia akiwa vice!

Ame re heal lini madonda ya majipu aliyotumbuliwa na leo kupachikwa kwenye wizara nyeti namna hii?

Tunakokwenda ni kubaya sana kuliko tunavyodhania!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom