Kwa mteja mdogo wastani ni unit 75 kwa manunuzi yake. Hivyo tunakushauri sana nunua unit kwa matumizi kama neno LUKU ( Lipia Umeme Kadro Utumiavyo) kulimbikiza unit hakuna tatizo lakni inaweza tokea kuwa mita yako ikaaribika na kupoteza kumbukumbu zake, endapo utataka kupata unit zako za awali ambazo hazionekani inaweza kuleta shida.

Tumia umeme ambao utakutosha kabsa kwa matumizi yako.




TANESCO Makao Makuu| 0768985100|customer.service@tanesco.co.tz
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Huu ni wakati wa Coronavirus inabidi huduma ya umeme isiwe na matatizo ya kukatika mara kwa mara. Na ikitokea tatizo lishughulikiwe haraka. Kwasababu baadhi yetu tunahifadhi vyakula vya familia ili kupunguza safari za sokoni kuepuka Coronavirus.
Lakini kwa bahati mbaya hapa Tanesco Tabata kuna dalili za kufanya mambo kwa mazoea.
Umeme ulikatika leo 08/04/20 saa 3.00 usiku huu kwa dakika chache ukarudi kwa nguvu sana. Majirani zangu umewaka bila shida, ila kwangu tu haujarudi na nimepiga simu Tanesco Tabata saa 3.21 kuripoti nikaambiwa mafundi watakuja.
Saa 5.42 nimewapigia tena. Jibu ni kama kawaida: Fundi yuko njiani atakuja.
Nikaomba wanipe namba ya report file wakasema siku hizi hawatoi namba kwasababu "mtandao mbovu".
Sasa ni saa 00:15 bado nasubiri.
Kwa mwendo huu hatma ya familia zetu sisi ambao tunanunua vyakula na kuvihifadhi katika fridge halafu umeme unakatika vyakula vyetu vikioza tutaishije?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuko kwenye changamoto ya Corona virus na watu wanatakiwa kukaa nyumbani. Lakini kama huna chakula au akiba yako imeharibika kutokana na umeme kukatika utakaaje nyumbani?

Umeme ulikatika saa 3:00 usiku 08/04/20 ukarudi kwa nguvu sana kwa bahati mbaya hapa kwangu ukaleta shoti. Eneo lote majirani zangu umewaka bila shida ila kwangu tu haujarudi na nimeripoti TANESCO Tabata tangu saa 3:20 usiku lakini hadi muda huu 02:15 hawajafika kurudisha umeme.

Jana nilimtumia fedha nyingi kununua chakula pamoja na mboga kwa familia ili kupunguza safari za sokoni kuepuka Coronavirus. Nikahifadhi katika fridge. Sasa kutokana na umeme kukatika hivi vyakula vitaoza. Niatawezaje kuhimili changamoto ya Coronavirus?

Serikali isiache mambo kama haya yaendelee kama inataka tukae nyumbani. Utakaaje nyumbani kama huna chakula?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha vioze, kwanini ulimbikize chakula ilihali ukijua tabia hiyo inapandisha juu bei za vyakula? Inamaana wewe umejifungia ndani na hutoki nje kwenda kufanya kazi? Ukitoka kazini huwezi kupitia mahitaji ukarudi nayo?
 
Shirika letu pekee la umeme Tanzania mnafurahisha Sana. Maagizo ya Waziri na mnayoyafanya ni vitu viwili tofauti.

Waziri alitoa maagizo KUUNGANISHA UMEME nchi nzima kwa gharama na bei za REA nadhani.

Mimi nipo umbali wa mita 25 toka ilipo nguzo ya umeme na nimepewa quotation ya Tsh. 536,000.


Je, Tanesco mnatenda kazi kinyume na maagizo ya Waziri pamoja na Wizara ya nishati?

Tatizo lenu hasa Nini. Hivi ukimfungia mtu umeme SI ananunua luku na nyie mnapata mapato na Serikali pia inapata?

Kwa usawa huu, kea mlalahoi hamuoni kuwa laki tano Ni ndefh Sana?

Je, hamuoni mnakuwa kikwazo kwa MALENGO ya Mheshimiwa Rais?

Tafadhali Sana naomba mnijibu kero yangu.
 
Tunafuatilia ndugu mteja. TANESCO hatuuzi nguzo. Mteja anaunganishiwa umeme kwa umbali (mita)




TANESCO Makao Makuu| 0768985100|customer.service@tanesco.co.tz
Tutashukuru kama mnafuatilia. Maana tusije kuingia kwenye rushwa adui wa haki na hela zenyewe hakuna. MTU anajenga nyumba mpya anawekewa umeme sisi was zamani fomu zetu zimeandikwa zinasubiri nguzo za mradi mwaka mzima hakuna hizo nguzo wakati nguzo zipo ofisini zinaoza na mchwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Kijiji Cha losokonoi,kata ya lendanai,wilaya ya simanjiro mkoa wa manyara ambako mradi wa REA ulivuka kaya zaidi ya 300 bila kupata umeme mwaka 2019 Tanesco imefuatilia chanzo Cha Hilo tatizo? Tumeandika Hadi tumechoka hakuna ufuatiliaji hadi leo
 
Me ninalalamiko, hususan hapa wilaya ya bunda mkoa wa mara jimbo la mwibara ambayo ni halimasahauri mpya kibara, kijij cha mchigondo kilichopo kata ya igundu sisi tunatatizo la umeme wiki na sehemu imepita umeme hauwaki tukipiga cm tanesco kibara hawaji ebu tunaomba mtusaidie ni hili jmn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini hapa kwetu Ifakara kukatika umeme ni kila siku hasa tunapo anza kusikiliza taarifa ya saa 2 usiku ? jambo hili ni gumu kiasi gani kubadilika ? mbona imekuwa ni kawaida sasa ? hamuoni kama mnawakera watumiaji wa umeme ?
 
Kuna kukatika umeme kwa uhalisi kwa matatizo ya kiufundi. Pia kuna kukatika kwa kimkakati. Mafundi wanazusha matengenezo na hasa mwisho wa wiki na sikukuu ili kupata overtime. Wabane maintance engineers wako, piga chini over time zisizo na miguu , hutaona matengenezo ya kijinga yanajitokeza, hutaona kukatwa umeme. Awali Tanesco walikuwa wanazima mitambo ya mtera kisingizio maji. Tegeta iptl nao kuzalisha mpaka serikali inunue mafuta. Wakipewa hela wanawasha siku mbili tatu wanazima na kuwasha mtera, mpaka serikali ilipo washtukia.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mimi nataka kujua kwanini tanesco mnauza nguzo huku Waziri akisema nguzo ni bure?Ina maana Kalemani anatudanganya?Mimi kwangu kuna nguzo ipo chini miaka haijatumika ila nikiomba kuunganishiwa umeme mmataka pesa laki mbili na ushee kwa ajili ya nguzo tu,Naomba majibu maana malalamiko haya nina mpango kuyapeleka wizara ya nishati endapo sitapata msaada


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mimi nataka kujua kwanini tanesco mnauza nguzo huku Waziri akisema nguzo ni bure?Ina maana Kalemani anatudanganya?Mimi kwangu kuna nguzo ipo chini miaka haijatumika ila nikiomba kuunganishiwa umeme mmataka pesa laki mbili na ushee kwa ajili ya nguzo tu,Naomba majibu maana malalamiko haya nina mpango kuyapeleka wizara ya nishati endapo sitapata msaada


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mwanangu tuungane kupeleka malalamiko huko wizarani. Hata wilaya ya chemba mambo no hayo hayo nguzo zinaliwa na mchwa afu unaambiwa nguzo hamna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom