La Quica
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 921
- 2,085
Moderators rudisheni ule uzi kuna mdau anaitwa chaliifrancisco alielezea kuhusu hili ila mkajiona mnajua sana mkafuta uzi wangu.
ww dada nakupendaga sijuwi kwa nnWalifuta sababu haukuwa na authority!Ila huu wa Leo ni kweli makao makuu Tanesco wameutoa so nakubaliana nawe ni taarifa Rasmi ya Kushare nasi!Tunashukuru Kwa Taarifa
wanasubiri kenge azame shimoni ndio wamwagie maji ya moto!!!Hawa Tanesco mimi huwa nashindwa kuwaelewa kabisa!
Unaenda kuomba kuunganishwa umeme, wanakuangalia tu.
Wanakupa fomu unajaza, wanakuangalia tu.
Wanakupa fundi wao akafanye tathmini, wanakuangalia tu.
Fundi wao anatoa makadirio ya gharama, wanakuangalia tu.
Wanakupa gharama unazotakiwa kulipia, wanakuangalia tu.
Unaenda kulipia, wanakuangalia tu.
Ukishalipa tu, wanakuambia nguzo hakuna, subiri miezi mitatu!
Mbona TANESCO wamekanusha hii taarifa yako nyoko wewe? Unastahili kupigwa ban maana umewatukana bure hao Mods!!TAARIFA KWA UMMA
Jana nimeleta uzi hapa kutoa taarifa muhimu lakini moderators wa Jamii Forum kwa utashi wao wakipumbavu wakaona waufute.
Sasa leo naleta taarifa rasmi kutoka Tanesco kuhusiana na nilicholeta jana na naomba ndugu zangu muwaambie hawa mods wa JF waurudishe uzi ule nilioleta jana haraka sana na ikiwezekana kuunganisha na huu. Asanteni
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake wote wanao tumia mita za malipo ya kabla yaani (LUKU) kuwa, kuanzia April 2, 2018 TANESCO itahamia rasmi katika mfumo wa malipo wa Serikali ujulikanao kama Government e-Payment Gateway (GePG) kama matakwa ya sheria kwa Taasisi za Serikali.
TANESCO ikiwa miongoni mwa Taasisi za Serikali, itaanza kutumia mfumo huu kwa kufanya mauzo ya LUKU kupitia ofisi za TANESCO, Kampuni za simu pamoja na Benki zote zinazofanya mauzo ya LUKU kupitia huduma za kibenki.
Serikali kwa kushirikiana na Wataalamu wa TANESCO itahakikisha kuwa mfumo huu unafanya kazi bila kuathiri manunuzi ya LUKU. Ifahamike kwamba, TANESCO ni miongoni mwa Taasisi za Serikali zitakazotumia mfumo huu mpya na hadi hivi sasa Taasisi nyingine za Serikali zimeshaanza kutumia kwa mafanikio, baadhi ya Taasisi hizo ni Polisi, Brella, Ardhi, TRA pamoja na Mamlaka za maji.
TANESCO inapenda kuwahakikishia wateja wote kuwa mbali na Kampuni za simu ofisi zote za Shirika na vituo vya mauzo ya LUKU vitaendelea kutoa huduma katika kipindi chote cha Sikukuu ya Pasaka.
TANESCO ‘‘Tunayaangaza Maisha yako’’
Kwa mawasiliano
Kituo cha miito ya simu Makao Makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100
Tovuti: www.tanesco.co.tz, mitandao ya kijamii:
Mitandao ya kijamii
Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,
Facebook Tanesco Yetu
IMETOLEWA NA:
OFISI YA UHUSIANO
TANESCO MAKAO MAKUU
MACHI 27, 2018
Mbona TANESCO wamekanusha hii taarifa yako nyoko wewe? Unastahili kupigwa ban maana umewatukana bure hao Mods!!
Huo mfumu una faida zip Kwa wateja
sema maslah yako yameanza kuguswa unapiga yowe tulia namba zisomeke vizuriNgoja tusubiri tuone! Ila rekodi zinaonyesha serikali huwa inashindwa vibaya ktk kuendesha mifumo yake, soko huria inatakiwa waliwezeshe!! Sasa Kutoka 'soko' huria kwenda monopoly, yangu macho!!
By the way: id yangu haijawa hacked, msiniulize maswali.
TAARIFA KWA UMMA
Jana nimeleta uzi hapa kutoa taarifa muhimu lakini moderators wa Jamii Forum kwa utashi wao wakipumbavu wakaona waufute.
Labda kama yameguswa basi ni kama kutakuwa na usumbufu upatikanaji wa umeme. Shughuli zangu binafsi (biashara) zinategemea umeme karibu 20hrs.sema maslah yako yameanza kuguswa unapiga yowe tulia namba zisomeke vizuri
Ufanisi wake utachukua muda mrefu na huenda huduma zikadorora zaidi.Huo mfumu una faida zip Kwa wateja
ndio kuguswa kwenyewe na bado gharama lazima ziongezeke funga mkanda...Labda kama yameguswa basi ni kama kutakuwa na usumbufu upatikanaji wa umeme. Shughuli zangu binafsi (biashara) zinategemea umeme karibu 20hrs.