Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,500
- 7,104
Mjumbe auwawiPole mteja zinapatikana muda wote, pia tupo katika mitandao ya kijamii
Izi namba za watu wa Kanda mbali mbali na wenyewe, kwa nn? Wasiwepo katika Jamii Forum wakajibu baadhi ya majibu. Na wakijibu wajitambulishe kwamba mfano Tanesco ILALA, ili iwe Raisi kujibu maana Tanzania ni kubwa mfano mtu wa Tanesco ubungo awezi kujua tatizo la Igogo Mwanza
Ushauri wangu naomba ufanyiwe kazi