Unatakiwa kuwa umefanya mtandao wa umeme au wiring na mkandarasi ambae anatambulika na TANESCO kujua kama anatambulika, unafika ofisi ya TANESCO iliopo karibu nawewe na kuomba majin ya wakandarasi.Naomba kujua utararibu wa kuvuta umeme kwa eneo linalo itaji nguzo 5
Hapana gharama yeyote, tunaweza kujua mita ipo sehemu gani mkoa wilaya na eneo bila kusaau namba ya simuNyumban kwetu tuna meter ya luku ambayo imefungwa muda mrefu tangu mwaka 2008 na imefungwa nje ya nyumba huwa inatupa shida sana wakati wa kuingiza Unit mpya, Swali la msingi ni hivi kuna gharama yoyote kubadili meter Luku na kuwekea meter inayoendana na technolojia ya sasa hivi.
Ndio swali nililokusudiaNatumaini ni hli swali
Ok, napatikana Dar es salaam wilayani temeke mtaa wa Yombo Reli ni nyumba ya mwenyekiti na namba zake za cm ni hizi hapa 0713341659,, Tunatarajia response yenu very soonHapana gharama yeyote, tunaweza kujua mita ipo sehemu gani mkoa wilaya na eneo bila kusaau namba ya simu
nimenunua leo asubuh mpaka ss hiyo sms yenu ya sijaipataUmenunua wa tsh ngapi tarehe ngapi
siwez nikatoa namba ya mita hapa 4 privacy reasons,.. kwann system yenu haichek pending request na kuzishungulikia automatically au kuchek kma sms imekuwa delivered kwa mteja mpka nianze kutoa namba za mita humWa tsh ngapi na namba ya mita
Kwa namba ya mita mtu hawezi kuone details zako, pia unaweza kutumia private message.siwez nikatoa namba ya mita hapa 4 privacy reasons,.. kwann system yenu haichek pending request na kuzishungulikia automatically au kuchek kma sms imekuwa delivered kwa mteja mpka nianze kutoa namba za mita hum
sawaKwa namba ya mita mtu hawezi kuone details zako, pia unaweza kutumia private message.