TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,584
- 2,104
- Thread starter
- #1,301
*SHIRIKA LA UMEME TANZANIA TANESCO*
*TAARIFA YA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU MKOA WA TABORA*
Shirika la umeme Tanzania Tanesco mkoa wa Tabora, linapenda kuwataarifu wateja wake wote wa manispaa ya Tabora kuwa kutakuwa na kazi ya uboreshaji wa miundombinu ya umeme siku ya jumanne ya tarehe 26/09/2017.
*MUDA* Kuanzia saa 3:00 asubuhi_11:00 jioni.
*MAENEO YATAKAYOATHIRIKA*
Bara bara ya Boma, Ofisi ya mkuu wa mkoa Tabora, Ofisi ya mkuu wa wilaya Tabora, Uhazili, VETA, Kwa Mrema, Majumba 40 JWTZ, Shule za wasichana na Wavulana Tabora, Kariakoo, Uwanja wa ndege, Cheyo A, Cheyo B, Malabi, Isevya, Bomba mzinga, Rada, Ipuli na bwawa la Kazima.
*TAHADHARI*Tafadhali usiguse, usikanyage wala usishike waya uliokatika maana ni hatari kwako.
*MAWASILIANO* Piga dawati la dharura:
0788 684535, 0786 558 810,
KITUO CHA MIITO MAKAO MAKUU: 0222194400/0768 985 100
*TOVUTI* www.tanesco.co.tz
*TANESCO INAOMBA RADHI KWA USUMBUFU WOWOTE UTAKAOJITOKEZA*
*IMETOLEWA NA OFISI YA UHUSIANO HUDUMA KWA WATEJA TANESCO MKOA WA TABORA.*
*TAARIFA YA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU MKOA WA TABORA*
Shirika la umeme Tanzania Tanesco mkoa wa Tabora, linapenda kuwataarifu wateja wake wote wa manispaa ya Tabora kuwa kutakuwa na kazi ya uboreshaji wa miundombinu ya umeme siku ya jumanne ya tarehe 26/09/2017.
*MUDA* Kuanzia saa 3:00 asubuhi_11:00 jioni.
*MAENEO YATAKAYOATHIRIKA*
Bara bara ya Boma, Ofisi ya mkuu wa mkoa Tabora, Ofisi ya mkuu wa wilaya Tabora, Uhazili, VETA, Kwa Mrema, Majumba 40 JWTZ, Shule za wasichana na Wavulana Tabora, Kariakoo, Uwanja wa ndege, Cheyo A, Cheyo B, Malabi, Isevya, Bomba mzinga, Rada, Ipuli na bwawa la Kazima.
*TAHADHARI*Tafadhali usiguse, usikanyage wala usishike waya uliokatika maana ni hatari kwako.
*MAWASILIANO* Piga dawati la dharura:
0788 684535, 0786 558 810,
KITUO CHA MIITO MAKAO MAKUU: 0222194400/0768 985 100
*TOVUTI* www.tanesco.co.tz
*TANESCO INAOMBA RADHI KWA USUMBUFU WOWOTE UTAKAOJITOKEZA*
*IMETOLEWA NA OFISI YA UHUSIANO HUDUMA KWA WATEJA TANESCO MKOA WA TABORA.*