TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,584
- 2,104
- Thread starter
- #10,901
Tafadhali tambua taratibu za kuomba umeme ni zile zile kama ifuatavyoAhsante.
Naomba niulize swali jingine;
Ninatumia umeme wa njia moja.( Nimeunganishiwa), ninataka niweke machine ya kusaga umeme wa three phase, umeme wa three phase upon umbali wa nguzo 5. Taratibu zikoje au itanigharimu kiasi gani?
Je g
1. Hakikisha miundombinu ya umeme imekufikia
2.Kamisha wiring ( mtandao wa nyaya kwenye sehemu husika)
3.Chukua form ya maombi ya awali
4.jaza sehemu zako mpe na mkandarasi wako ajaze na kuweka mchono na muhuri
5.Rudisha form TANESCO
6.Wataalamu wetu watafika kupima eneo husika kujua utahitaji nini kufungiwa umeme
7.Utapatiwa gharama halisu ya makadirio ambayo itaambana na control number
I.Utalipia na kusubiri kufungiwa
Zingatia.
Kwa wateja waliopo nje ya mita 120 wanapaswa kusumbiri miundombinu ya umeme isogezwe ili waweze kulipia bei halisi.