TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,584
- 2,104
- Thread starter
- #8,341
*SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)*
*Julai 29, 2020*
*TAARIFA YA KUOMBA RADHI WATEJA WET WA MKOA MOROGORO* .
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaomba radhi Wateja wake wa Mkoa wa Morogoro kwa katizo la umeme likilotokea leo Julai 29,2020 saa 3:17.
*SABABU*
Hitlafu Kituo cha kupoza umeme cha Msamvu, Morogoro.
*Jitihada Zinazofanyika*
Wataalamu kutoka Kanda na mafundi wanaendelea na kazi kuhakikisha huduma ya umeme imerejea.
*Maeneo yanayokosa umeme*
Baadhi ya Maeneo ya Manispaa ya Morogoro, Wilaya ya Kilosa, Wilaya ya Mvomero, Mvuha, Kisaki pamoja na maeneo ya jirani.
Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza.
Tafadhali usiguse wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka chini, toa taarifa Ofisi za TANESCO zilizo karibu Au Kituo cha miito ya simu Makao Makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100
Tovuti: www.tanesco.co.tz,
Mitandao ya kijamii
Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,
Facebook https://www.facebook.com/tanescoyetultd/
Imetolewa na:
*OFISI YA UHUSIANO*
*TANESCO MAKAO MAKUU*
*Julai 29, 2020*
*TAARIFA YA KUOMBA RADHI WATEJA WET WA MKOA MOROGORO* .
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaomba radhi Wateja wake wa Mkoa wa Morogoro kwa katizo la umeme likilotokea leo Julai 29,2020 saa 3:17.
*SABABU*
Hitlafu Kituo cha kupoza umeme cha Msamvu, Morogoro.
*Jitihada Zinazofanyika*
Wataalamu kutoka Kanda na mafundi wanaendelea na kazi kuhakikisha huduma ya umeme imerejea.
*Maeneo yanayokosa umeme*
Baadhi ya Maeneo ya Manispaa ya Morogoro, Wilaya ya Kilosa, Wilaya ya Mvomero, Mvuha, Kisaki pamoja na maeneo ya jirani.
Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza.
Tafadhali usiguse wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka chini, toa taarifa Ofisi za TANESCO zilizo karibu Au Kituo cha miito ya simu Makao Makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100
Tovuti: www.tanesco.co.tz,
Mitandao ya kijamii
Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,
Facebook https://www.facebook.com/tanescoyetultd/
Imetolewa na:
*OFISI YA UHUSIANO*
*TANESCO MAKAO MAKUU*