TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,584
- 2,104
- Thread starter
- #6,781
Kama ambavyo tulikupatia ufafanuzi hapo awali wataalamu wetu wamepokea swala hili kwa hatua zaidiWapendwa TANESCO, mimi nawakumbusha tu kwa nia njema kuhusu suala la umeme wa REA kitongojini kwetu maana tuliambiwa tuzid kusubiria sasa hadi binafsi nachoka, tafadhali sema chochote kuhusu ombi langu la kupatiwa Umeme wa REA huko kwenye kitongoji cha KIJUKA kijiji Mabuye kata Kassambya wilaya ya Missenyi mkoani Kagera.