Tunashukuru kwa ushauri wako mpendwa mteja wetuBinafsi nilikua na mtazomo.. Kwamba kotokana na changamoto mbali mbali za ku unganishiwa umeme hasa hasa upatikanaji wa vifaa. (Hakuna vifaa)Kwa madai ya office nyingi zilizo chini yenu.. Hamuoni kwamba kuna ka ulazima wa kuwa na huduma ya ziada Kama vile.. V.I.P
Hii itapunguza rushwa. kwa maana unakuta sehemu moja na mmelipa Siku moja pengine Mimi nimeanza kulipia lakini nasubirishwa na wa mbele yangu anapata huduma. Ukiuliza unaambiwa nyoosha mkono.
Pia inatupa shida kwa sisi ambao Umeme ndio chanzo kikuu cha mapato bila umeme ina maana hakuna kula. Kutokana na changamoto za sehemu ya kufanyia shughuli zangu imebidi niamie sehemu nyingine.. Nimefatilia umeme kukawa na usumbufu wa savei na nashukuru nili lileta hapa na kesho yake wakaja kupima
Shida imebaki kwenye kuunganishiwa baada ya kulipia tangia tar 02/09/2019
Najaribu kufikiri naishije na familia. Ndani ya hizo Siku 60 kusubiri huduma ya TANESCO ili maisha yaendelee
Habari Tanesco! mbezi ya msumi, ni miezi mitatu inaenda sasa tangu mlipo tuwekea nguzo..Je lini mtakuja kumalizia kuvuta wire kwenye izo nguzo zenu na kutuwashia umeme.??Tunashukuru kwa ushauri wako mpendwa mteja wetu
Nipatie email ama namba za simu nikutumieTunaomba namba yako ya simu
Namba ya mita
Wilaya uliopo ili tukujibu kwa mujibu wa taarifa zetu
Customer.service@tanesco.co.tzNipatie email ama namba za simu nikutumie
Inawezekana ukalipia kwa awamu tatu mfululizo mpendwa mteja wetu
Mfano gharama ni 321000 unaweza kuigawa mara tatu ukalipa kwa awamu tatu mfululizo.Utafungiwa mara baada ya kukamlisha malipo ya awamu zote tatu.Fafanua Basi hizo awamu inakuwaje ili sisi wengine wa kuunga unga Kama tuna laki mbili tunaweka moja pia tunaweka ili Kama ni ndani ya miezi 3 mtu unamaliza na umeme unakula mi Nina uhitaji huo ila Nina laki 320000/=
Kinachonishinda ni laki 2 za nguzo
So kwa awamu Kama inawezekana nisaidie process zake
Duuuh muda wote huu hawajakujibu? au ulienda physically mka-solve tatizo? haya haya tanescoNaomba mawazo yenu kwa tatizo hili: natumia unit 8 kutwa.
Nina frigdge moja ndogo, taa energy saver kama 5 zinawaka saa 12 a day, tv mbili zinatumika kama saa 5 a day, . Nadhani unit 8 a day huu ni umeme mwingi ninao tumia.
Tatizo linaweza likawa wapi? Nimeleta fundi akacheki wiring akasema iko vizuri.
Ushauri tafadhali.
Asante
They never responded na sijawahi kwenda! Ndiyo mashirka yetu! Hovyo kabisaDuuuh muda wote huu hawajakujibu? au ulienda physically mka-solve tatizo? haya haya tanesco
Huenda alietoa hilo pendekezo aliishaacha kazi! na waliopo hawana interest au hawajuwi nguvu iliopo mtandaoni!! ukisikia kuna maonesho yao usiache kwenda huko ndiko huwa kuna majibu ya fasta manake wanapataga allowanceThey never responded na sijawahi kwenda! Ndiyo mashirka yetu! Hovyo kabisa
nimekupata vema, asanteHuenda alietoa hilo pendekezo aliishaacha kazi! na waliopo hawana interest au hawajuwi nguvu iliopo mtandaoni!! ukisikia kuna maonesho yao usiache kwenda huko ndiko huwa kuna majibu ya fasta manake wanapataga allowance
Ilipo nyumba yangu nitahitaji nguzo moja, TANESCO naomba niambie nahitaji kulipa kiasi gani ili niingiziwe umeme.nataka next week nianze kufuatilia hivyo nia ni kufahamu jumla kila kitu niandae bei gani?mahali ni Dar es saalam.Mfano gharama ni 321000 unaweza kuigawa mara tatu ukalipa kwa awamu tatu mfululizo.Utafungiwa mara baada ya kukamlisha malipo ya awamu zote tatu.
Tunafatilia swala lako mpendwa mteja wetuTanesco!,nililipia nguzo mbili tarehe 26/8/2019 nikaambiwa ndan ya siku 60 ila chakushangaza nina jilan yng kalipia baada yangu yy kawekewa nguzo!nimeenda kuulizia tanesco mpanda wanadai nguzo zimeisha!sasa huyu jilan yy kapataje nguzo:::katavi,mpanda manispaa:0628138826
Tanesco tatizo nini huku magole wiki nzima mnawasha umeme kwa saa moja kisha mnakata bila maelezo yeyote ?Tunafatilia swala lako mpendwa mteja wetu