Hata kwenye kuunganishwa na umeme tulisumbuana sana, nlilipia connection fees kama laki 8 hivi nikakaa wiki saba bila kuwekewa umeme eti nguzo hakuna akati naziona ikabidi nimpigie mtu kutoka tanesco hq siku waloniwekea umeme nlienda ofisini kwao saa 3 asbh nikaambiwa nguzo hakuna ile natoka geti la tanesco napigiwa simu na housegirl anasema mafundi wa tanesco wanaweka umeme ila wanatukana sana sijui mmegombana nao. Nikamwambia waache wawekeKama mjibu hoja ni wa tanesco basi nipo tayari kutoa ushirikiano, actually nlikasirika nikataka kuchomoa betri kwa waziri moja kwa moja maana nina namba yake,
Mi naishi kwenye nyumba yangu, nimetumia umeme miaka 3 kwa matumizi ya tarrif 4, nikashangaa ninehamishwa kimya kimya kwenda matumizi makubwa, kuuliza nikaambiwa nlitoka kabla ya miezi mitatu kuisha, eanataka wanirudishe katika kipindi cha matazamio cha miezi 3, swali langu nikawauliza mkifanya wastan wa matumizi yangu kwa miezi 36 toka nimeanza kutumia mnafikiri haitoshi kuruleout matumizi yangu yanaangukia wapi, actually tulizozana hadi kwa meneja na sikupata majibu tofauti, ikabidi niwe mpole sikununua umem miezi 2 sababu uliopo ulikuwa haujaisha, ila wa tatu nikanunua, nikasubiri mwezi uishe niende kuomba niondolewe tarrif 1, kwenda tanesco nikaambiwa eti nlitakiwa kununua kila mwezi ili wajue matumizi, nikawambia simuangalie kwa kipindi chote nimetumia unit ngapi mfanue wastani kwa 3, mtajua matumizi yangu ni gani, sikutaka kubishana nao, nikanunua umeme wa elf 9 nikasepa. Sass nikatuma bwanamfogo wangu naye yupo tanesco kwends kushugulikia basi wakamwambia ukitaka tukuondoe tupe elf 20, actually nlipanic nikataka kushtaki kwa waziri tena ila dogo akanipoza akasema atashugulikia. But kama kuna mhusika wa tsnesco nipo tayari kumtajia hadi alomwomba hiyo hela coz ningekuwa na uwezo wa kulifuta shirika hili ningelifuta maramoja sababu customercare ni zerooooo, huduma zao zimejaa ujanja ujanja wizi na utapeli tanesco ni kati ya mashirika machache ya kiserikali yaliyojaa rushwa na wizi mkubwa kwa watendaji wake
Tunaomba namba yako ya simuKama mjibu hoja ni wa tanesco basi nipo tayari kutoa ushirikiano, actually nlikasirika nikataka kuchomoa betri kwa waziri moja kwa moja maana nina namba yake,
Mi naishi kwenye nyumba yangu, nimetumia umeme miaka 3 kwa matumizi ya tarrif 4, nikashangaa ninehamishwa kimya kimya kwenda matumizi makubwa, kuuliza nikaambiwa nlitoka kabla ya miezi mitatu kuisha, eanataka wanirudishe katika kipindi cha matazamio cha miezi 3, swali langu nikawauliza mkifanya wastan wa matumizi yangu kwa miezi 36 toka nimeanza kutumia mnafikiri haitoshi kuruleout matumizi yangu yanaangukia wapi, actually tulizozana hadi kwa meneja na sikupata majibu tofauti, ikabidi niwe mpole sikununua umem miezi 2 sababu uliopo ulikuwa haujaisha, ila wa tatu nikanunua, nikasubiri mwezi uishe niende kuomba niondolewe tarrif 1, kwenda tanesco nikaambiwa eti nlitakiwa kununua kila mwezi ili wajue matumizi, nikawambia simuangalie kwa kipindi chote nimetumia unit ngapi mfanue wastani kwa 3, mtajua matumizi yangu ni gani, sikutaka kubishana nao, nikanunua umeme wa elf 9 nikasepa. Sass nikatuma bwanamfogo wangu naye yupo tanesco kwends kushugulikia basi wakamwambia ukitaka tukuondoe tupe elf 20, actually nlipanic nikataka kushtaki kwa waziri tena ila dogo akanipoza akasema atashugulikia. But kama kuna mhusika wa tsnesco nipo tayari kumtajia hadi alomwomba hiyo hela coz ningekuwa na uwezo wa kulifuta shirika hili ningelifuta maramoja sababu customercare ni zerooooo, huduma zao zimejaa ujanja ujanja wizi na utapeli tanesco ni kati ya mashirika machache ya kiserikali yaliyojaa rushwa na wizi mkubwa kwa watendaji wake
Tunaomba namba yako ya simu, jina na eneo ulilopoNiko Maeneo ya Moshi-Marangu... Huduma zinazotolewa na office za wilaya za Tanesco Himo -Moshi ni mbovu mnoo.
Ilichukua miezi 9 toka kulipia gharama za kufungiwa umeme ndio wakaleta nguzo na kuzisimamisha. Takribani mwezi umeisha lakini bado hawajafunga nyaya za umeme, nikiwapigia wanadai material hakuna.
Msaada please.
0754228453
Tunaomba namba yako ya simu tukusikiliza na kukushauri tafadhaliTanesco swali langu ni 1
Tuko wapangaji wa 5 ila tunatumia LUKU 1
Kila mpangaji kafungiwa sub meter vile vidogo vya kusoma unit
Ajabu ni kwamba
Wapangaji tunaweza kuweka umeme wote ina maana kila mpangaji atasoma kile ki meter kuona kama umeme wake umeisha au lah
Lakini kinachotokea kila mpangaji anaweza akawa umeme wake haujaisha lakini LUKU imekata umeme...Huo umeme unapotelea wapi?
TANESCO naomba jibu
Jinanimeomba umeme kigamboni na nimelipia tangu mwezi wa 12/4/2019 nikaambiwa siku 30 nitafungiwa umeme mpaka leo mwezi huu wa 9 sijafungiwa na nimemwandikia barua meneja tanesco kigamboni mara mbili kumjulisha lakini ni kuahidi tu hakuna matokeo sasa nataka niende tanesco ya mkoa nilalamike nawao nikiona kimya niende makao makuu . maana nguzo ipo mita moja kutoka kwenye fence nyumba ipo geza ulole
Tujaomba tukusikilize mpendwa mteja wetu.Bado nasubiri jitihada zenu nyaya zipo juu ya bati jamani upepo ni mkali muda wowote nguzo inashuka chini . Nasikitika muda wote nilioriport sipat jibu la kiridhisha .kwani hamkagui nguzo zenu?
Nimekutumia PmTunaomba namba yako ya simu, jina na eneo ulilopo
Inawezekana ukalipia kwa awamu tatu mfululizo mpendwa mteja wetuKuna uwezekano wa kulipia gharama za kuunganishiwa umeme kwa awamu,maana kwa hali hii wenye nia ya kuunganishiwa nishati hii muhimu lakini kipato kidogo tutashindwa!
Binafsi nilikua na mtazomo.. Kwamba kotokana na changamoto mbali mbali za ku unganishiwa umeme hasa hasa upatikanaji wa vifaa. (Hakuna vifaa)Kwa madai ya office nyingi zilizo chini yenu.. Hamuoni kwamba kuna ka ulazima wa kuwa na huduma ya ziada Kama vile.. V.I.PInawezekana ukalipia kwa awamu tatu mfululizo mpendwa mteja wetu