Nyie watu umeme mmekata mbezi beach leo asubuhi hadi sasa hakuna umeme. Utarudi saa ngapi?
 
HIVI KWELI INAINGIA AKILINI MTEJA MAMA WA WATU NA FAMILIA YAKE MNASHINDWA KUMBADILISHIA MITA MUMUWEKEE MPYA SABABU YA MWANZO ILILETA SHIDA NA MKAMUAHIDI KWAMBA MTAMBADILISHIA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI APATE UMEME ILA JUST IMAGINE MAMA WA WATU NA FAMILIA YAKE WAMEKAA GIZANI MWEZI MMOJA HAWAJUI UMEME .. MAMA WA WATU KILA SIKU KIGUU NA NJIA KWENDA OFISINI KULILIA UMEME ILI NA YEYE AFAIDIKE NA UMEME LAKINI IMEKUA KAMA MANYANYASO.. .KWAKWELI UTAWALA HUU MNAMNYIMA MTU UMEME MWEZI MZIMA? ETI KISA ENGINEER HAYUPO???? MAGUFULI MUST HERE THIS..NIMEPANGA KWENDA HADI KWA MKUU WA MKOA AISEE THIS IS NOT RIGHT ..


MKOA : KILIMANJARO
WILAYA : MOSHI
ENEO : MAKABURI YA KARANGA.
Tumepokea taarifa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namba ya simu na namba ya taarifa aliypewa tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari,natumia unit 1.4 kwa siku lakini nashangaa nikinunua umeme wa sh 2000 napata unit 5.7 lakini jirani yangu anapewa unit 16.4,nini tatizo kwangu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TANESCO, poleni na majukumu ya kila leo. Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam mkoa wa Ilala (ki-Tanesco) katika mtaa wa Bombambili kata ya Kivule. Tumekuwa na tatizo la kutokuwa na huduma ya umeme kwa miaka kadhaa sasa. Baadhi ya watu katika mtaa huu wamewekewa umeme ila sehemu kubwa imebaki bila umeme.

Tunaweza kujua tatizo hili litatatuliwa lini? Lini miundombinu ya umeme itawekwa?
 
Habari nipo namalizia ki likizo changu pamoja na viporo ili nikirudi kazini niwe huru .Napenda kujua kama leo mtakata tena maeneo ya huku mbez beach asanten

Sent using Damu ya Yesu
 
Wapuuzi sana, wanataka hata vitu vidogovidogo tuandamane kwenda kumlilia Rais.
 
Umeomba umeme kwa jina gani na namba yako ya simu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku Ipinda Kyela kwa miezibsas I'm me in aka to kala ika ovyo kwa siku hata mara 12. Hata leo kuanzia Jana usiku hadi leo saa 10 hii umeme toka ukatwe haujarudishwa na hatuambiwi sababu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sorry. Huku Ipinda, Kyela, kwa miezi sasa umeme umekuwa ukikatika ovyo hata mara 12 kwa siku. Hata leo toka ukatwe jana usiku haujarudishwa mpaka muda huu, saa 10 jioni. Na hatuelezwi sababu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TANESCO HII LAINI YA HUKU UBUNGO MSEWE MAENEO YA KITUO CHA AFYA CHA MOYO SAFI INA TATIZO GANI...? KILA SIKU NDANI YA MASAA 24 LAZIMA UMEME UKATIKE...KWANINI LAKINI...MNATURUDISHA NYUMA MAENDELEO YETU NA YA TAIFA KWA UJUMLA...KAMA SASA HIVI NAVYOZUNGUMZA HAKUNA UMEME HUKU...
 
Habari ndugu natoa taarifa ya kukatika kwa umeme baadhi ya nyumba hapa Nyeburu chanika
Kuna zinazopata umeme na nyingine hazina tangu jana usiku
Hii imetokea baada ya kukatika umeme na kurudi baada ya nusu saa
Kama inawezekana naomba na namba za dharura za kisarawe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…