Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,741
Ukishafungiwa mita mpya inachukua muda gani mpaka kuingizwa kwenye ile tarrif D1 kama matumizi yako hayazidi unit 75 kwa mwezi??
Maana kuna wengine wamefungiwa tangu Septemba mpaka leo bado wapo tarrif 1 tu