Tanesco
Mteja anawekewa nguzo bila kuungwa wire wiki mbili
Huu ni utaratibu wenu?
Imagine unalipa huduma tangu May mpaka sasa hujapata umeme!
Ajabu kubwa kuna waliolipa July wameunganishwa na huduma.
Jamani sote ni watanzania.

Tanesco ya Mbezi ya Kimara

kuna customer care ya hovyo, majibu mabaya sana kwa wateja wapendwa hasa kwa afisa mahusiano pale Kontena na Chumba namba 8.
tanesco ya Mbezi organisation ya kazi yao ni janga kubwa, chumba namba 8 ndo shida sana wapo wadada wawili pale hata kutoa maelekezo shida wanawambia msubiri then wao wanakimbizana na simu. ukienda tanesco kimara usitegemee kuendelea na shughuri zako. ujue hiyo siku itaishia pale mimi mwenyewe nimelipia 515675 kuunganishiwa umeme nasubiria simu zao hata nguzo hawajaniletea jamaa majanga sana bora ningeombea tu magomeni na kusema sina imani na huduma ya Tanesco mbezi.
 
tanesco ya Mbezi organisation ya kazi yao ni janga kubwa, chumba namba 8 ndo shida sana wapo wadada wawili pale hata kutoa maelekezo shida wanawambia msubiri then wao wanakimbizana na simu. ukienda tanesco kimara usitegemee kuendelea na shughuri zako. ujue hiyo siku itaishia pale mimi mwenyewe nimelipia 515675 kuunganishiwa umeme nasubiria simu zao hata nguzo hawajaniletea jamaa majanga sana bora ningeombea tu magomeni na kusema sina imani na huduma ya Tanesco mbezi.
Yaani ndugu; walivyo na jeuri hao!
Unaingia getini unatetemeka ukiwaza sijui watanijibu nini?
Nina siku kama ya 100+ tangu nilipie lakini hakuna la maana. Sisi ni wanyonge
Hatuna njia mbadala zaidi ya kuamini Haki.
Naahukuru sana mdau kwa kujitokeza na kuwekea mkazo hili pengine litasaidia wahusika kubadilika.
Inashangaza sana na kuumiza mno.
 
Yaani ndugu; walivyo na jeuri hao!
Unaingia getini unatetemeka ukiwaza sijui watanijibu nini?
Nina siku kama ya 100+ tangu nilipie lakini hakuna la maana. Sisi ni wanyonge
Hatuna njia mbadala zaidi ya kuamini Haki.
Naahukuru sana mdau kwa kujitokeza na kuwekea mkazo hili pengine litasaidia wahusika kubadilika.
Inashangaza sana na kuumiza mno.
Mpendwa mteja tumekuomba taaarifa kamili ili tufanyie.kazi swala.lako
 
Tanesco niliwauliza swali langu mkaniambia mnalifanyia kazi lakini hadi sasa sijapata majibu, naomba majibu tafadhali. Nitashukuru
 
TANESCO IMEWAPATIA WANAKIJIJI UMEME SHULE YA SEKONDARI HAINA UMEME.
nimekuwa nikijiuliza hivi uongoz wa kata na wilaya hauko serous na usambazaji wa umeme. Leo ni mwaka 3 shule ya sekondari Magubike haina umeme huko huduma zingine kama hospital walishapelekewa.waziri wa nishati na madin wanafunz hawapati muda wa kujisomea na kusababisha mimba kuongezeka kwa sababu wazazi hawawezi kuweka watoto hostel wakati umeme no.
Wahusika kama munaniskia shule ya sekondari Magubike haina umeme kabsa huku kipaumbele cha serikali ya awamu ya tatu ni kupata umeme..alishakuja meneja wa mkoa akafika akaangalia lakin hado kimya.

Njoon magubike ipo barabara ya Dodoma ukipita tu Dumila kama unaelekea Dodoma.
 
Inategemea
Kama ni njia moja nunua kuanzia 17500 ili ulipie unit 50 ambazo zilifungwa na mita

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza polen kwa kazi kubwa.

Mji mdogo wa Dumila morogoro utapata lini huduma ya REA yaan umeme upo njian tu tufanyeje tuotaka kufungua mashine za mpunga pembezon.yaan mji hauna umeme.
Njoon muangalie ukiwafuata Mvomero kila kitu gharama kuanzia nguzo,waya, mita tutafika kweli..ifike hatua mameneja wa tanesco token ofisi njoon kwa wananchi tunaumia ndugu zangu
 
Thread hii haina msaada wowote.
Maana anayeindesha kwa siku yawezekana aisiingie kabisa hewani.
Wacha tupambane na shida zetu.
 
Haya Tanesco kazi kwenu uchaguzi umeisha Ukonga na tuliambiwa tuchague CCM tupate umeme huku Zingiziwa Chanika tunawasubiri kwa hamu maana huwa hamkanushi maneno yao kuwa nyie mnahudumia Watanzania wote
 
Back
Top Bottom